Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubishi wa siasa za jukwaa la Siasa,hapa hakuna haja ya kubishana na kutupiana maneno ya kejeli.Acha Uongo! Umri huo awe UDSM? Kazi ya kutengeneza uongo mbele ya watu makini inahitaji umakini kuliko kufanya operation ya Ubongo
Ni Uongo! Tumia akili ya kawaida usipoteze nguvu kubwa! Kwa age hiyo uliyoonesha ni below 15 years halafu utudanganye kuwa alikuwa Chuo kikuu?Acha ubishi wa siasa za jukwaa la Siasa,hapa hakuna haja ya kubishana na kutupiana maneno ya kejeli.
Aliyenyoosha mkono juu ni Prof,enzi za harakati Udsm miaka ya 1960's...hii imetolewa kwenye "Archives" yake
Naona una Carbon 14 ya kupima age za watu...unashindwa kuona hayo mabango ya chama cha kina Mseveni,Garang na Shivj Udsm?Ni Uongo! Tumia akili ya kawaida usipoteze nguvu kubwa! Kwa age hiyo uliyoonesha ni below 15 years halafu utudanganye kuwa alikuwa Chuo kikuu?
Umri unapimwa kwa carbon 14 ila rika linapimwa kwa macho.Naona una Carbon 14 ya kupima age za watu...unashindwa kuona hayo mabango ya chama cha kina Mseveni,Garang na Shivj Udsm?
Angalia mkono wake uone kama ni wa mtoto wa 15yrs.Ni Uongo! Tumia akili ya kawaida usipoteze nguvu kubwa! Kwa age hiyo uliyoonesha ni below 15 years halafu utudanganye kuwa alikuwa Chuo kikuu?
List of child prodigies - Wikipedia, the free encyclopediaUmri unapimwa kwa carbon 14 ila rika linapimwa kwa macho.
Kwny hiyo picha rika la huyo kijana wa kihindi sio rika la kuwa chuo kikuu, rudini kiwandani
Museven na Garang wawe na Umri mkubwa wa kuongoza Harakati halafu Shivji awe kivulana hivyo? Kichwa chako kitakuwa na kazi mbadala sio kufikiri
Hahaha age factor au appearance factor.Acha Uongo! Umri huo awe UDSM? Kazi ya kutengeneza uongo mbele ya watu makini inahitaji umakini kuliko kufanya operation ya Ubongo
Kweli ubishi mwingine shule tosha, kuandamana kupinga ubeberu kulihitaji waliokuwa wanafunzi wa UDSM?Leo hata maandamano ya siasa chipukizi kibao ingawa hawapigi kura.Asante kiongozi.Acha ubishi wa siasa za jukwaa la Siasa,hapa hakuna haja ya kubishana na kutupiana maneno ya kejeli.
Aliyenyoosha mkono juu ni Prof,enzi za harakati Udsm miaka ya 1960's...hii imetolewa kwenye "Archives" yake
Kuangalia tu picha ushajua na umri!?Acha Uongo! Umri huo awe UDSM? Kazi ya kutengeneza uongo mbele ya watu makini inahitaji umakini kuliko kufanya operation ya Ubongo