Prof. Issa Shivji: Serikali inapokosa uhalali kwa watu wake inaanza kutumia mabavu

Prof. Issa Shivji: Serikali inapokosa uhalali kwa watu wake inaanza kutumia mabavu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwanasheria na Profesa mkongwe kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Issa Shivji, alitoa onyo kwa serikali wakati wa Kongamano la Kitaifa la Ardhi 2024 na Maadhimisho ya Miaka 30 ya Hakiardhi, yaliyofanyika Jumanne, Oktoba 29, 2024.

Akihutubia washiriki, Prof. Shivji alisisitiza umuhimu wa serikali kuwa na uhalali wa ndani, akieleza kuwa serikali inapokosa uhalali wa watu wake wenyewe na kuanza kutafuta uhalali kutoka nje, kuna hatari ya kuanza kutumia vyombo vya mabavu zaidi dhidi ya raia wake. Kauli hiyo inadhihirisha umuhimu wa kushirikisha wananchi katika masuala ya ardhi na ulinzi wa haki za vijiji ili kuimarisha uhalali na kuepuka matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima.
 
122437940_10163993725700198_310600546803637233_n.jpg
 
Mwanasheria na Profesa mkongwe kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Issa Shivji, alitoa onyo kwa serikali wakati wa Kongamano la Kitaifa la Ardhi 2024 na Maadhimisho ya Miaka 30 ya Hakiardhi, yaliyofanyika Jumanne, Oktoba 29, 2024.

Akihutubia washiriki, Prof. Shivji alisisitiza umuhimu wa serikali kuwa na uhalali wa ndani, akieleza kuwa serikali inapokosa uhalali wa watu wake wenyewe na kuanza kutafuta uhalali kutoka nje, kuna hatari ya kuanza kutumia vyombo vya mabavu zaidi dhidi ya raia wake. Kauli hiyo inadhihirisha umuhimu wa kushirikisha wananchi katika masuala ya ardhi na ulinzi wa haki za vijiji ili kuimarisha uhalali na kuepuka matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima.

Tatizo linaanzia hapa:


View: https://m.youtube.com/live/LnexfL-qYdw
 
Mwanasheria na Profesa mkongwe kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Issa Shivji, alitoa onyo kwa serikali wakati wa Kongamano la Kitaifa la Ardhi 2024 na Maadhimisho ya Miaka 30 ya Hakiardhi, yaliyofanyika Jumanne, Oktoba 29, 2024.

Akihutubia washiriki, Prof. Shivji alisisitiza umuhimu wa serikali kuwa na uhalali wa ndani, akieleza kuwa serikali inapokosa uhalali wa watu wake wenyewe na kuanza kutafuta uhalali kutoka nje, kuna hatari ya kuanza kutumia vyombo vya mabavu zaidi dhidi ya raia wake. Kauli hiyo inadhihirisha umuhimu wa kushirikisha wananchi katika masuala ya ardhi na ulinzi wa haki za vijiji ili kuimarisha uhalali na kuepuka matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima.

Prof anasema kitu tumsikilize. Anatutakia mema. Kama unampenda mtu, lazima kumwambia ukweli
 
Back
Top Bottom