state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,510
Jamaaa anajua , nyimbo zake bado zinaujumbe mzito hadi leo sikushangaa kusikia jamaa kawa mbunge hasa album ya MACHOZI JASHO NA DAMU,
NIKUSAIDIEJE? nilipo kuwa natoka naye nyuma anatoka ,usiku ananitoroka tena kwa kuruka ukuta,
HAPO VIPI. Ulinikanyaga wakati nakwenda ila sasa narudi nikanyage bahati mbaya nikulipue maksudi
BONGO DAR ES SALAAM, sinza ya leo kila baada ya nyumba bar na hapo ndipo utakapo shangaa
PROMOTA. Promota majalala ana suti chini ana ndala muda kidogo tu promota anagongea sigara
NAN'GATUKA .Nan'gatuka nimesha ikosea jamii nikajiita mungu mtu nikajita nabii
Huyu mwamba alikuwa kichwa hasa naona siasa imemnyima muda wa kuweka mawe siku hizi ,wewe unakumbuka mistari gani
NIKUSAIDIEJE? nilipo kuwa natoka naye nyuma anatoka ,usiku ananitoroka tena kwa kuruka ukuta,
HAPO VIPI. Ulinikanyaga wakati nakwenda ila sasa narudi nikanyage bahati mbaya nikulipue maksudi
BONGO DAR ES SALAAM, sinza ya leo kila baada ya nyumba bar na hapo ndipo utakapo shangaa
PROMOTA. Promota majalala ana suti chini ana ndala muda kidogo tu promota anagongea sigara
NAN'GATUKA .Nan'gatuka nimesha ikosea jamii nikajiita mungu mtu nikajita nabii
Huyu mwamba alikuwa kichwa hasa naona siasa imemnyima muda wa kuweka mawe siku hizi ,wewe unakumbuka mistari gani