Hio iko wazi dunia nzimaMkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo, Prof. Mohamed Janabi amesema kila siku takriban Wagonjwa 150 wa Figo wanasafishwa Damu hospitalini hapo na 90% wamegundulika kuwa na Kisukari na Shinikizo la Damu
Amesema kama watu wasipochukua hatua za kubadili mtindo wa maisha, hali itakuwa mbaya zaidi kwa kuathiri uchumi wa mtu mmoja mmoja pamoja na taifa kwa ujumla.
View attachment 2995104
Hv hana mazuri ya kuelezea?Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo, Prof. Mohamed Janabi amesema kila siku takriban Wagonjwa 150 wa Figo wanasafishwa Damu hospitalini hapo na 90% wamegundulika kuwa na Kisukari na Shinikizo la Damu
Amesema kama watu wasipochukua hatua za kubadili mtindo wa maisha, hali itakuwa mbaya zaidi kwa kuathiri uchumi wa mtu mmoja mmoja pamoja na taifa kwa ujumla.
View attachment 2995104
Duh hivi hii ishu ni kweliNaongezea.
Ukiwa na kisukari sahau kabisa starehe ya gesti house. Utakua unawaangalia na macho tu. Chukua tahadhari mapema pisi Kali zinazidi kuingia mjini.
Ukiona hivi vizee vya mjini vyenye visukari vinachukua totos kwenda lodge, ujue hapo Ni mwendo wa kushikwa shikwa, chumvini kwa Sanaa halafu wanawakatia pochi ndefu kutunza SiriDuh hivi hii ishu ni kweli
Hiyo nayo ni starehe piaUkiona hivi vizee vya mjini vyenye visukari vinachukua totos kwenda lodge, ujue hapo Ni mwendo wa kushikwa shikwa, chumvini kwa Sanaa halafu wanawakatia pochi ndefu kutunza Siri
Motivation nzuri sana hii 😀Naongezea.
Ukiwa na kisukari sahau kabisa starehe ya gesti house. Utakua unawaangalia na macho tu. Chukua tahadhari mapema pisi Kali zinazidi kuingia mjini.
Naskia anapenda chini sio poaHv hana mazuri ya kuelezea?
Sio hio tu baadae unaweza kuwa kipofu pia.Duh hivi hii ishu ni kweli