Prof. Janabi: Wanaochangia figo wanaishi muda mrefu

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema tafiti zinaonesha kuwa watu wanaochangia figo wanaishi maisha marefu ikilinganishwa na ambao hawachangii.

Your browser is not able to display this video.

 
Kama suala ndo hilo, atatufanya tujazane huko wanakotolea hizo figo; faida ya kuongeza uhai na kupata hela..
 
Itatakiwa aje na proof kuwa Kabla ya kuchangia mtu Alitakiwa aishi muda gani na baada ya kuchangia muda gani umeongezeka. Bila proof ni propaganda Kama za CCM na Chadema tu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema tafiti zinaonesha kuwa watu wanaochangia figo wanaishi maisha marefu ikilinganishwa na ambao hawachangii.

 
Hii ni mbinu tu ya kuisaidia wahitaji wa figo.kama anauhakika kuwa wanaotoa Figo wanaishi maisha marefu basi yeye na familia yake watoe Figo zao wawape wagonjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…