mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Prof. J. Mzee wa Mitulinga leo ndani ya 360 amekili kurudi mchangani alikotoka baada ya kuiambia 360 kuwa mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani zile singo zilikuwa cha mtoto. Profesa huyo ambaye hata historia yake ya shule haijulikani vizuri kama aliishia fomu foo au wapi amejinasibu kuleta mziki kama kitabu yaani kisomi, ambacho kitakuwa na sulat, aya na vichwa vya habari, mafunuo na umuhimu wa mwanamke.
Ameliki kipindi cha kuwatumikia wanchi kimepita sasa anaanza kutumikia mziki tena, kwani kipindi cha uheshimiwa alibanwa sana na kale kamuda. Yaani kwa jinsi nilivyo muelewa ni kuwa anawataadharisha wapinzani wake kuwa sasa anakuja kama HEAVY WEIGHT uzito kuliko ule uzito wa kwanza na yeye apigi kwingine ila anapeleka za uso tupu yaani kama anamchakaza shoo ya mbele ya mtu/wapinzani wake.
Kipekee mimi kama Mtoto wa Mchungaji nimempenda sana Profesa Jay kupitia wimbo wake wa NDIYO NA SIYO MZEE kutujulisha kuwa siasa za Afrika ni uongo na ndiyo maana hata yeye imekuwa ngumu kuendelea katika kipindi cha pili kwani alijitabilia tayari katika SIYO MZEE.
Ukizisikiliza zile nyimbo za NDYO MZEE na SIYO MZEE utaweza kuona jinsi Profesa alivyokuwa mkomavu katika tasnia hiyo ya mziki wa kufokafoka na alikuwa kweli kwa zaidi ya 900% ndiyo maana hata kule jimboni Mikumi hakuna hata kitu alichofanya, kwa mtu mwenye akili atasema hiki tutamkumbuka Profesa hakuna, akibisha azikatae nyimbo zake.
Ameliki kipindi cha kuwatumikia wanchi kimepita sasa anaanza kutumikia mziki tena, kwani kipindi cha uheshimiwa alibanwa sana na kale kamuda. Yaani kwa jinsi nilivyo muelewa ni kuwa anawataadharisha wapinzani wake kuwa sasa anakuja kama HEAVY WEIGHT uzito kuliko ule uzito wa kwanza na yeye apigi kwingine ila anapeleka za uso tupu yaani kama anamchakaza shoo ya mbele ya mtu/wapinzani wake.
Kipekee mimi kama Mtoto wa Mchungaji nimempenda sana Profesa Jay kupitia wimbo wake wa NDIYO NA SIYO MZEE kutujulisha kuwa siasa za Afrika ni uongo na ndiyo maana hata yeye imekuwa ngumu kuendelea katika kipindi cha pili kwani alijitabilia tayari katika SIYO MZEE.
Ukizisikiliza zile nyimbo za NDYO MZEE na SIYO MZEE utaweza kuona jinsi Profesa alivyokuwa mkomavu katika tasnia hiyo ya mziki wa kufokafoka na alikuwa kweli kwa zaidi ya 900% ndiyo maana hata kule jimboni Mikumi hakuna hata kitu alichofanya, kwa mtu mwenye akili atasema hiki tutamkumbuka Profesa hakuna, akibisha azikatae nyimbo zake.