Prof. Jay - Hakuna Noma lyrics (final verse)

Prof. Jay - Hakuna Noma lyrics (final verse)

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
images-36.jpg

PROFESOR JAY - HAKUNA NOMA

Nimesimama kwenye haki/ kurumbana sitaki/ bado nipo na fani kama Saturn na Zebaki/ sitaki kujiuliza.. yupi..? ndugu yupi ..? adui/ sijui..!! Pata nasaha za ma bedui / ulipo lala wewe ndipo nime amka mimi/ ubongo wangu madini changanya umjini mjini/ kabla sijakujua kwanza ujitambue wewe/ Dume lenye uhakika alimchungulii mkewe/ namtukuza manani popote ninapokwenda/ bado nawajibika ni kama Yasini memba/ waache wafanya wao, nikifanya lawama/ natumia macho yangu matatu (3) kuwatazama/ mawili yana pona ,ubongo wangu unasoma/ hakuna noma weka vikao
mi na yoyoma/ kwenye muziki kila upande watu wana Dhiki/ ..

Amani watangazaji wa kweli na mashabiki ..

Eeeh.. bwana ndiyo..

Yeah..

( professor jay - hakuna noma)

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
 
Zali la mentali

Dada habari samahani naomba niulize swali🎶
Akajibu, "Maskini koma tafadhali hii ngoma ya gari"🎶
"Ehee unajua dada?", "We vipi hebu nipishe"🎶
"Dada mbona mkali", "We kinyago kubali yaishe"🎶
Nikasema inshallah hiyo yote sababu fukara🎶
Nisije nikakubaka nitupwe selo nikawe kafara🎶
Nikaachana nae sehemu za nyuma akizitingisha🎶
Nilikula kwa macho hadhi yangu haikuridhisha🎶
 
Back
Top Bottom