Prof jay kwanza hongera na karibu jamii forum

Prof jay kwanza hongera na karibu jamii forum

Elineema J Mosi

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2013
Posts
808
Reaction score
148
Ndugu wana jf,naomba kumpongeza sana Prof Jay kwa kujiunga na CHADEMA kwani ameonyesha njia kwa vijana wengi na pia naomba kutumia fursa hii kumkaribisha hapa kwenye jukwaa la maoni huru na aje tushauriane na kupeana majukumu zaidi. Karibu kamanda.
 
Mbona wanaojiunga na ccm hamuwakaribishi? Acheni upendeleo lol
 
Back
Top Bottom