Prof. Juma Mikidadi ni profesa wa nini? Fikiria kidogo kabla ya kujibu...

Prof. Juma Mikidadi ni profesa wa nini? Fikiria kidogo kabla ya kujibu...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Swali hili lina lengo la kujenga hoja fulani ambayo nataka izame kwa baadhi ya watu. Sina mashaka na uwezo au elimu ya Prof. Mikidadi kwani ni mwanazuoni aliyebobea katika fani zake na ni miongoni mwa wasomi wanaoheshimika nchini. Hata hivyo ili hoja yangu iweze kuonekana ningependa mtu anayejua mambo haya mawili atusaidie:

a. Alipata shahada ya kwanza wapi na ni katika vitu gani?
b. Shahada yake ya Udaktari aliipata wapi na inahusiana na vitu gani?

Na je, shahada hizo zinapaswa kukubaliwa na watu wengine ambao hawakubaliani na vile alivyosomea?
 
Is this the guy you are talking about???

FACULTY OF LAW AND SHARIAH


Ag. Dean and Professor,
Juma Mikidadi, O. Mtupah – B.A. (Islamic Law) (Medina); M.A. (Logic & Orient Studies)
(SUUD); PhD (Phil. & Islamic Studies) (Edinburgh)
Email j.mikidadi@yahoo.com
Mob. +255 785-342628

Source: Hapa
 
Professor wa divinity kama wilbroad slaa yule katibu mkuu wa chadema
 
Swali hili lina lengo la kujenga hoja fulani ambayo nataka izame kwa baadhi ya watu. Sina mashaka na uwezo au elimu ya Prof. Mikidadi kwani ni mwanazuoni aliyebobea katika fani zake na ni miongoni mwa wasomi wanaoheshimika nchini. Hata hivyo ili hoja yangu iweze kuonekana ningependa mtu anayejua mambo haya mawili atusaidie:

a. Alipata shahada ya kwanza wapi na ni katika vitu gani?
b. Shahada yake ya Udaktari aliipata wapi na inahusiana na vitu gani?

Na je, shahada hizo zinapaswa kukubaliwa na watu wengine ambao hawakubaliani na vile alivyosomea?


Nimefikiria kabla ya kuku jibu nimegundua

1) Una majibu ya hayo maswali ulio uliza kutoka na mstari ( conclusion uliyoweka) hapa chini bora ungeenda straight kwenye point what are you trying to Dig..?!
je, shahada hizo zinapaswa kukubaliwa na watu wengine ambao hawakubaliani na vile alivyosomea?

P.S

nawashangaa wanaomfananisha na mzee slaa, Slaa yeye ulikuwa ni mwendo wa certificate kwenda mbele ... hana B.A katika CV yake !

hamfikiii Prof. J. mikidadi hata kidogo.
 
Swali hili lina lengo la kujenga hoja fulani ambayo nataka izame kwa baadhi ya watu. Sina mashaka na uwezo au elimu ya Prof. Mikidadi kwani ni mwanazuoni aliyebobea katika fani zake na ni miongoni mwa wasomi wanaoheshimika nchini. Hata hivyo ili hoja yangu iweze kuonekana ningependa mtu anayejua mambo haya mawili atusaidie:<br />
<br />
a. Alipata shahada ya kwanza wapi na ni katika vitu gani?<br />
b. Shahada yake ya Udaktari aliipata wapi na inahusiana na vitu gani?<br />
<br />
Na je, shahada hizo zinapaswa kukubaliwa na watu wengine ambao hawakubaliani na vile alivyosomea?
<br />
<br />
wewe MM shahada/whaterver ulichosomea unafikiri kina mchango katika nchi hii na je unadhani ni sahihi tukbali elimu yako uliosoma na ni sahihi kuwa watu wengine wakuchuklie kuwa elimu yako inakusaidia na inasaidia jamiii inayokuzungukazi???
 
Back
Top Bottom