Prof. Kabudi adai kwa USA na UK kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua. Je, ni kweli?

Prof. Kabudi adai kwa USA na UK kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua. Je, ni kweli?

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..Prof.Kabudi amefundisha wanasheria wengi nchi hii, wakiwemo wabunge na majaji.

..sasa ametoa madai kwamba ktk nchi za Marekani na Uingereza, kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.

..pamoja na heshima kubwa niliyonayo kwa Prof.Kabudi napata taabu kukubaliana na kauli yake hiyo.

..Sijui Prof. alikuwa na nia gani kutoa madai hayo kwamba kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.

 
Nchi nyingi za Ulaya kukwepa kodi ni msala, mfano mzuri ni Rwanda hakuna mfanya biashara mkubwa Rwanda anae ongopa kama kukwepa kodi... Mfanya biashara yoyote wa Rwanda hawadhubutu kufanya biashara za shortcut kesi yake ni kupigwa nyundo la miaka jela na mali zako na biashara zako zote zinataifishwa na serikali.... Tanzania unaweza kufikia stage ya ubilioner bila kulipa kodi.....

Alicho kiongea Prof naungana nae, maendeleo hayana chama
 
..pamoja na heshima kubwa niliyonayo kwa Prof.Kabudi napata taabu kukubaliana na kauli yake hiyo.
h
umeshindwa hata ku google?
Vile mbowe alipokwepa kodi na kupigwa faini ya milioni tatu,ingekua uk saa hiizi angerudia kazi yake ya kulima mapapai kando ya mto
 
h
umeshindwa hata ku google?
Vile mbowe alipokwepa kodi na kupigwa faini ya milioni tatu,ingekua uk saa hiizi angerudia kazi yake ya kulima mapapai kando ya mto

..Je, angekuwa UK au US angepigwa hukumu ya maisha without parole kwa kukwepa kodi?
 
Hizo nchi hata makaburi ya ukwepaji kodi kama ulifanya miaka 20 hata 30.. watafukua na kukumaliza..

..ukiua wanakusamehe?

..au ukiuka hukumu yake inakuwa nafuu kuliko kukwepa kodi?

.."msiwafanye waTz hawana akili"
 
HIZO NCHI BANA ZIKO SAWA SAWA BANA KWA SABABU KODI INAYIKUSANYWA NA SERIKALI INATUMIKA

INATUMIKA KUTOA MATIBABU BURE KWA KILA MWANANCHI

HIYO KODI INATUMIKA KUSOMESHA WATOTO BURE KUANZIA PRIMARY HADI CHUO KIKUU

HIYO KODI INATUMIKA KUWAPA MASKINI WASIOJIWEZA HELA YA KUJIKIMU KWA SIKU

UKITAKA KUFANYA BIASHARA SERIKALI INAKUPA MTAJI

UKIWA HUNA AJIRA SERIKALI INAKULIPA MSHAHARA KUPITIA KODI INAYOKUSANYWA

UKIWA HUNA KAZI NA WEWE NI GRADUATE SERIKALI INAFANYA JUU KUKUTAFUTIA AJIRA HUKU KILA MWISHO WA MWEZI UNAPOKEA MSHAHARA

WAZEE WASIOJIWEZA WANATUNZWA NA SERIKALI KUPITIA KODI ZA WANANCHI

HIVYO WAKO SAHIHI USA NA UK,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Je, angekuwa UK au US angepigwa hukumu ya maisha without parole kwa kukwepa kodi?
Mwezi ulio pita mwanasharia wa Trump kipindi cha kampaini alibainika alikua anafanya kazi ya kutowa ushauri kwa serikali ya Ukuraini naalikua analipwa $300'000 kwa miaka miwili FBI ulibaini kwa kutowa ushahidi wakutosha kwamba jama alikuepa kulipa kodi kwenye federal government zaid ya $1m jama alikili na Mahakama elimuhukumu kufungwa miaka 3 jela ila aliomba aanze hukumu yake mwezi wa nane mwaka hu.....wewe jaribu kuua kama utafungwa miaka mitatu.....mstulishe matango pori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..ukiua wanakusamehe?

..au ukiuka hukumu yake inakuwa nafuu kuliko kukwepa kodi?

.."msiwafanye waTz hawana akili"

Kweli u 💀 endelea kuelekea huko penyewe unaelekea na uloandika.. jisikitikie
 
Aende USA tuone kama wana uwezo wa kumrejesha,kama atakuwa nchi kama Rwanda ndo anaweza kurejeshwa ila siyo USA au hata ulaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom