..Prof.Kabudi amefundisha wanasheria wengi nchi hii, wakiwemo wabunge na majaji.
..sasa ametoa madai kwamba ktk nchi za Marekani na Uingereza, kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.
..pamoja na heshima kubwa niliyonayo kwa Prof.Kabudi napata taabu kukubaliana na kauli yake hiyo.
..Sijui Prof. alikuwa na nia gani kutoa madai hayo kwamba kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.
..sasa ametoa madai kwamba ktk nchi za Marekani na Uingereza, kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.
..pamoja na heshima kubwa niliyonayo kwa Prof.Kabudi napata taabu kukubaliana na kauli yake hiyo.
..Sijui Prof. alikuwa na nia gani kutoa madai hayo kwamba kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.