Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Ipakwe matope kwani ni safi? Au unadhani kwakuwa watu wanaoogopa kuongea ndio unadhani ukweli haufahamiki?
Watanzania hawagawanyiki kwa chochote anayeendesha siasa za kuwagawanya watu mwisho wake ni aibu kubwa kwake na kwa bichwa lake kama analoKitendo cha Kuwakandia Wakenya Wakati Wameishamaliza tofauti Zao na ndiyo Wanaijenga Kenye Kwa Umoja ndiyo Upuuzi tunaouona Kabudi alikosea. Maana Kenya Kenyatta anajaribu Kuiunganisha lakini Magufuli anaigawa. Tuache Unafiki hata Ninyi WanaCCM mnajua Vizuri kuwa Rais Katugawa na Mbeleni italeta Madhara Makubwa tu.
Wanaotumika na Mabeberu Ndio wanaleta shida ila kwa ujumla Watanzania tupo shwari mno
Sio rahisi mtu mwenye akili aburuzwe na akae kimya ukiona watu wako kimya maana yake ni kwamba hawajaburuzwaWaliopo shwari ni wale waliokubaliana na kuburuzwa. Sio kila mtu anakubali ukondoo.
Sio rahisi mtu mwenye akili aburuzwe na akae kimya ukiona watu wako kimya maana yake ni kwamba hawajaburuzwa
Lakini Tambua Binadamu wanabadilika. Amini hilo Mkuu! Ninyi Wenyewe mnatoa Mfano saana wa Libya.Watanzania hawagawanyiki kwa chochote anayeendesha siasa za kuwagawanya watu mwisho wake ni aibu kubwa kwake na kwa bichwa lake kama analo
Yule jamaa hakufanywa chochote kibaya na mzee wetu zaidi ya kushauriwa kufanya kazi kama mwanaume au kuolewa kama anaona hawezi kufanya kaziPiga kelele upigwe risasi au upewe kesi ya uchochezi. Unakumbuka yule jamaa alayemuomba rais kuwa aachie pesa? Nadhani uliona majibu yake.
Umesoma na kuelewa nilichokiandika?Kwahiyo ni kweli tunakopa na sio fedha za ndani.
Yule jamaa hakufanywa chochote kibaya na mzee wetu zaidi ya kushauriwa kufanya kazi kama mwanaume au kuolewa kama anaona hawezi kufanya kazi
atalipwa mshahara wa mbunge
Pia soma
Je, Tanzania inahitaji BBI kama Kenya?
Na Malisa GJ, Leo Kenya imezindua ripoti ya BBI, ambayo ni kifupi cha maneno Building Bridge Initiatives, yani jitihada za kujenga daraja la maridhiano ya kitaifa. Ripoti hiyo imezinduliwa katika ukumbi wa BOMAS jijini Nairobi na kuhudhuriwa na zaidi ya watu 5000, huku mamilioni wengine...www.jamiiforums.com
Mtu wa vile unaweza MPA kazi gani na ule mwonekano wake wa kibangebangeKuna kazi alimpa akaacha kuifanya?
Mtu wa vile unaweza MPA kazi gani na ule mwonekano wake wa kibangebange
Akaolewe basi hamna jinsi
kwa kifupi BBI ni copy and paste ya mwafaka wa Zanzibar kati ya Amani Karume na Maalim Seif hautekelezeki na sio suluhisho la kudumu kwa matatizo ya Kenya Kama ambavyo ulifeli Zanzibar
maybe!!Kilichofanya muafaka wa Zanzibar ukafeli ni kitendo cha kuingiliwa na ccm Tanzania bara. Hapo ndio muafaka ulipovunjikia.
maybe!!
ila mimi nadhani we can not afford kuvunja muungano, CUF kukabidhiwa vile visiwa muungano bye-bye
Muungano ukifa ukanda utashamiri.Muungano ni uchafu gani ambao ukiondoka tutakuwa tumepoteza kitu cha maana?
Muungano ukifa ukanda utashamiri.