Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

Hii dunia ni ngumu sana kuielewa, kina Pompeo wanahubiri katika mataifa mengine free and fair election, viongozi wakubali matokeo ya uchaguzi wakati huo Pompeo hamtambui na kumkubali Biden kama mshindi halali wa USA, hii inatuambia nini ndugu zangu?
 
Lakini kwa kauli hizi za paniki tutakaoumia ni sisi Watanzania wa kawaida.

Halafu sioni Kabudi akimaliza miaka mitano ya Uwaziri, mbinyo ukizidi yeye ndio atakaetolewa kafara.
...🤔🤔🤔...
 
Kabudi ni muongo sana.

Utawala wa awamu ya tano umezidi kulawiti democrasia.

Tumechoka.
 
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Tanzania haitakubali kudhalilishwa utu na heshima yake kama nchi huru, kupigishwa magoti kupata misaada na mikopo kutoka katika nchi yoyote duniani.
Safi sana japo Lissu na Zitto watakuwa na hasira za sisi kukataa ushoga ila habari ndiyo hiyo. Tuwaachie wao wenyewe huo ushoga.
 
Huyu jamaa alinifanya nihairishe kusomea PHD pamoja na kuchaguliwa kusomea kozi hiyo Mlimani.

Yaani ukimuangalia unaona kabisa anaongea aliyotumwa akaseme Prof mzima unalazimishwa kuongea pumba kwa ajili ya kulinda nafasi yako
Kipi bora kulinda taaluma au kulinda tumbo
 
Hii dunia ni ngumu sana kuielewa, kina Pompeo wanahubiri katika mataifa mengine free and fair election, viongozi wakubali matokeo ya uchaguzi wakati huo Pompeo hamtambui na kumkubali Biden kama mshindi halali wa USA, hii inatuambia nini ndugu zangu?
Wao mawazo binafsi sio mawazo ya wote sisi mawazo binafsi ya mtawala ndiyo sheria.Wao uongozwa kwa katiba na sheria sisi uongozwa na maagizo
 
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Tanzania haitakubali kudhalilishwa utu na heshima yake kama nchi huru, kupigishwa magoti kupata misaada na mikopo kutoka katika nchi yoyote duniani...
Hii wizara naona Prof Kabudi imeshampwaya kabisa, pengine wamjaribu sasa January Makamba ama Emmanuel Nchimbi ambaye pia anaweza kuteuliwa kuwa mbunge

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ana ukichaa.

Kila siku anapigiwa simu na Magufuli usiku na kuambiwa mpumbavu (Rais Magufuli aliwaeleza Watanzania wote, ikiwa ni oamoja na wake na watoto wa Kabudi ja Mpango), naye anakenua meno. Kama angekuwa ni mtu anayejali heshima yake, si angejiuzulu siku hiyo alipoambiwa mpumbavu kwa mara ya kwanza.

Kila siku, yeye na Mpango wanaambiwa wapumbavu, wanakenua meno, halafu leo atuambie eti analinda utu na heshima ya Taifa. Ameshindwa kulinda utu na heshima yake binafsi, halafu anaongelea Taifa!!

Na Magufuli kawateua wao wawili tu ili apate wa kuwaambiwa wapumbavu kila siku, akijua kwa ujuha wao watafurahia. Nadhani wasipotukanwa huwa wanachanganyikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu ni wachumia tumbo hatari, hawana utu kabisaa. Labda hata siyo Watanzania
 
Niwakumbusheni tuu izo fedha za misaada zinatoka kwa wananchi walipa kodi barani ulaya. Wana haki ya kuhoji inakuwaje zinapewa serekali ambazo hazi heshimu haki za binaadamu.

Kuanza kutishia kama umeshinda vita ya Iddi Amini na kuanza kukimbilia kama TZ ni taifa huru. Nadhani ni yale yalioolezwa na hao wabunge namnukuu mmoja wao "..the relation with Tanzania has been difficult". Hii inatoa picha kamili kama uongozi wa Tanzania haufahamu kinachojadiliwa na kupelekea uhusiano wake kuwa mgumu kimataifa. Ukipewa msaada wa kukabiliana na covid na kupewa muongozo na WHO, halafu ukafanya tofauti sasa utarajie nini kutoka kwa mfadhili ? Ataridhishwa tuu na kuanza kupiga makofi ?

Nadhani uongozi wa Tanzania ujitafakari hususan katika masuala ya haki za binadaamu, demokrasia na uhusiano wa kimataifa.Prof. Kabudi na wenzake waache kuwa defensive na badala yake watumie mapungufu hayo kuboresha hali ilivyo. Huu ndio mtazamo wa mtu anaependa maendeleo.
 
Wakati tunajipanga kujidhatiti kutopokea mikopo toka nchi wahisani,tujipange kurudisha fedha zao Eu 27M,nadhani huo ndio uungwana na utu wenyewe ambao Kabudi anasisitiza
 
Waziri kabudi hafai kabisa.
 
Huyu mzee atavuliwa nguo na hatoamini kama nyeti anazoziona ni zake.

Beberu atamuuliza ulipata kura ngapi kwenye jimbo lako, atajibu demokrasia ililkua safi nilipita bila kupingwa mana wapinzani wangu 12 wote walikosea kuandika majina yao kwenye fomu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…