Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

kweli wameapa kutumikia watu lakini hawajaapa kudharauliwa na wazungu kwa ajili ya misaada, BORA KUFA UMESIMAMA KULIKO KUISHI UMEPIGA MAGOTI.
Wale pesa za corona makusudi kwa wizi kisha wasingizie ni dharau za wazungu? CCM acheni ujinga wenu acheni dharau kwa watanzania msidhani ni wajinga hivyo
 
Anawafokea mabeberu kisa kasoro za uchafuzi mkuu wa mwaka huu 2020?
Anaongea na watu ambao hawana uwezo hata wa kumuuliza swali pale dodoma ati wanasema anawajibu umoja wa ulaya??? Mbele ya watumishi wa umma mbumbumbu wa Tanzania???? Yule prof wa wapi??
 
Kabudi ni binadamu anayejiita msomi lakini ni binadamu wa kwanza kichwani mwake kufutika vyote anavyojidai alivisomea, kwa sasa kabudi ni level ya Lipumba wote wamesalia na darasa la nne tu kwenye Ubongo hakuna Taaluma wala maarifa tena imesalia mikwara ya kichaa cha dog
 
Anaongea na watu ambao hawana uwezo hata wa kumuuliza swali pale dodoma ati wanasema anawajibu umoja wa ulaya??? Mbele ya watumishi wa umma mbumbumbu wa Tanzania???? Yule prof wa wapi??
Kabudi siyo profesa bali ni yule Profeselii wa Olijino comedy mwenye taaluma ya darasa la nne tu
 
Kabudi aliingia Serikali akiwa masikini mchovu hohehahe tokea jalalani , lakini ameota mapembe baada ya kutafuna pesa za mkulima wa kizungu aliyekamata Ndege, migao ya 10% ununuzi wa Ndege, mikataba mipya ya siri ya madini, pesa za corona na michongo kibao ya kimataifa, sasa Kabudi ni tajiri ni bilionea ndiyo maana kawa na kiburi cha kishamba mno kutwa kujimwambafy kishetani shetani pasipo kutafakari kabla
 
ID yako inaelezea uhalisia wako. Wewe ni wakutumiwa kuandika tu hata kama ni utopolo. Ndiyo kazi ya Kalamu.
 
Kumbe wewe ndiyo wale matapeli wa rasilimali zetu mlizokuwa mnaiba kupitia mabeberu?
 
 
Nasema km kuna kiama kweli kama dini zinavotueleza hakuna politician ataekwenda peponi wallah kumbe kuna mahela ya covid tulipewa yalifanya nini na watu karantini walijilipia?NO POLITICIAN WILL GO TO HEAVEN..
 
Nasema km kuna kiama kweli kama dini zinavotueleza hakuna politician ataekwenda peponi wallah kumbe kuna mahela ya covid tulipewa yalifanya nini na watu karantini walijilipia?NO POLITICIAN WILL GO TO HEAVEN..
Hopeless kweli wewe kwani ulikuwa hujui kuwa EU walijipendekeza wakatoa misaada ya corona?
 
Nyerere alishindwa vita gani na mabeberu mpaka akaamua kung'atuka ?.Profesa zima halina linachojua .
 
Kumbe wewe ndiyo wale matapeli wa rasilimali zetu mlizokuwa mnaiba kupitia mabeberu?
CCM mkienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Hopeless kweli wewe kwani ulikuwa hujui kuwa EU walijipendekeza wakatoa misaada ya corona?
Sasa kama walijipendekeza kutoa pesa za corona ndiyo umezipora kwa njia haramu za kishetani?
 
Kabudi aliambiwa live na Magu kuwa hafai kuwa rais.
 
Wazungu si wote mabeberu! Mabeberu ni wale wazungu wezi wakishirikiana na vibaraka kama wewe kuiba rasilimali zetu. Nafikiri utakuwa umeelewa maana ya mabeberu sasa!
 
Kila nchi ina kopa wamarekani wanadaiwa na China mkuu. Hivyo kukopa siyo shida hata hao wanaokopesha wanafanya hivyo ili wapate faida bila kukopesha wanakufa kwa njaa pia. Maana yake tunategemea wote!
Msiwe wajinga. US haijawahi kukopeshwa na China. China huwa inanunua treasury bonds za Serikali ya Marekani ili kutengeneza faida. Watu wenye akili ndogo huwa wanadhani ni mikopo kama hii tunayoichukua sisi.

Kama una hela, hata wewe unaweza kununua treasury bonds za Serikali ya Marekani. Baada ya hapo, kwa ujinga kabisa na meno nje utaweza kutamka kuwa umeikopesha US?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…