Hujui lolote wewe kibaraka.Msiwe wajinga. US haijawahi kukopeshwa na China. China huwa inanunua treasury bonds za Serikali ya Marekani ili kutengeneza faida. Watu wenye akili ndogo huwa wanadhani ni mikopo kama hii tunayoichukua sisi.
Kama una hela, hata wewe unaweza kununua treasury bonds za Serikali ya Marekani. Baada ya hapo, kwa ujinga kabisa na meno nje utaweza kutamka kuwa umeikopesha US?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah sasa akiwa mshauri wa Rais sindio itakuwa bala maana Rais mwenyew kichwani hamna kitu alafu huyo akiwa mshauri wake siitakuwa kama pipa na mfuniko wakeUTU anaomaanisha ni MADARAKA. Sio utu ule unaofahamika na wengi.
Huyu mtu hii wizara ni kubwa sana ni bora angebaki tu ikulu akae meza moja na mkulu awe mshauri wa karibu.
Hii wizara HAIMTOSHI.
HII WIZARA HAITAKI KUFOKA FOKA.
Hakuna lugha mtaacha kutumia wakati huu! Kwa sababu inajulikana achanaye nywele kwa uma dalili zake ni zipi.jinga lingine
Wewe unafahamika hapa ukumbini kwa kutokuwa na mchango wowote wa maana unaoweza kujivunia.ID yako inaelezea uhalisia wako. Wewe ni wakutumiwa kuandika tu hata kama ni utopolo. Ndiyo kazi ya Kalamu.
Ona ulivyo mtupu kichwani! Unaendeshwa na tumbo tu na kuishia chooni. Huna zaidi ya hapo.Hopeless kweli wewe kwani ulikuwa hujui kuwa EU walijipendekeza wakatoa misaada ya corona?