Uchaguzi 2020 Prof. Kabudi bila mbeleko Kilosa ubunge mgumu kwake. Warabu wa Kilosa wanamzidi kutamka majina ya vijiji vya Kilosa

Mbona unazunguka.sema mtaiba kura kwa kutumia NEC, MADED na POLICCM.
 
Kwani sifa ya kuwa mbunge ni kutaja majina ya vijiji? Katiba inamruhusu mtu yeyote kugombea uongozi mahali popote ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ukiwemo wewe
 
Kwa nini asigombee Ubungo. Ametumia sehemu kubwa sana ya maisha yake hapo mlimani kwa hiyo angejitambulisha zaidi kwa wana ubunguo.
 
Mkuu nakuapia atakuwa mbunge wa kilosa piga ua garagaza! hukuna cha kura wala nini ni kutangaza tu.
 
Kilosa tafuteni kamanda mmoja kutoka CDM achaneni na udikteta wa ccm.
 
Mafao ya ubunge yanasababisha tusikie mengi.
 
Hahahaaaaaa . . . .inatia huruma na inafurahisha vilevile. Ngoma ngumu sana October 2020
 
Kwani Mustafa Mikulo alipogombea jimbo la Kilosa alikuwa na nyumba Kilosa...?
 
Kabudi haijuwi vizuri kilosa Sema Ana ndg zake hapo dumila
Ila jimbo atapewa.... Ila syo mbaya angeenda kumsalimia Mustafa mkulo

Ova
 
Kabudi anataka kuvamia jimbo kimabavu.
 
Ukija kuzinduka katika huo usingizi utamkuta ni mbunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…