Prof. Kibaijuka akiri historia ya Bibi Titi na Kambona kufichwa

Prof. Kibaijuka akiri historia ya Bibi Titi na Kambona kufichwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Akihojiwa na kituo cha Wasafi Media Mkongwe Profesa Tibaijuka amekiri wazi kuwa historia ya Tanganyika ameficha mchango wa Bibi Titi na Oscar Kambona. Amesema kulikuwa na kutokuelewa na Mwalimu.

Amesema kwenye siasa haya ni mambo ya kawaida lakini sio sababu ya kuwaweka pembeni katika historia.

Amekiri historia inahitaji marekebisho
 
taratibu mbivu na mbichi zitajulikana. hata matukio ya leo yatawekwa wazi kwa wajukuu wetu.
 
Back
Top Bottom