Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabeberu hawa mlioufyta kwao na kuamua kubadili vifungu vya sheria kandamizi ya takwimu?Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan
Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
Mabeberu hawa mlioufyta kwao na kuamua kubadili vifungu vya sheria kandamizi ya takwimu?
Hahah aiseeh,waliomba radhi kwa barua,waraka,simu,fax ama barua pepe?,tusaidie nakala nasie tuipitie.Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan
Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
Nani hao waliomba razi kwa mkulu? Je anayetaka kuporwa Jimbo ni yule kamanda aliyeshiriki kampeni chafu zilizopelekea watu kuuana kule Ndago Iramba?Hahah aiseeh,waliomba radhi kwa barua,waraka,simu,fax ama barua pepe?,tusaidie nakala nasie tuipitie.
Serikal Sikivu sifa yake ni kusikliza
Nilidhani ndio anapelekwa Ikungi au kule mngali na imani na Mtaturu?Inasemekana Prof. Kitila Mkumbo wana Iramba wanamsubiri kwa hamu kubwa sana.
Mbunge anayemaliza muda wake anahaha kujinusuru.
Let us wait and see.
Mabeberu hawa mlioufyta kwao na kuamua kubadili vifungu vya sheria kandamizi ya takwimu?
Hujui kilichotokea wewe nenda kadake bk7 ukale kwa mama lishe.Hatujabadili vifungu kutokana na shinikizo la mabeberu kwani wao wanaishi hapa TZ kwamba sheria hizo zinawagusa wao??....sheria zimebadilishwa kwa maslahi mapana na watanzania wote ili hata nyinyi vibaraka wa mabeberu mnufaike nazo....pambavu sana nyinyi
Hivi mbunge wa Iramba kwa sasa ni nani ?Inasemekana Prof. Kitila Mkumbo wana Iramba wanamsubiri kwa hamu kubwa sana.
Mbunge anayemaliza muda wake anahaha kujinusuru.
Let us wait and see.
Yupo ila 'table manners' imezingatiwa.Hivi kumbe Kitila yupo bado...!!!
MwiguluHivi mbunge wa Iramba kwa sasa ni nani ?
Karibu Iramba Mhe. Prof. Mumbo (PhD).
Inasemekana Prof. Kitila Mkumbo wana Iramba wanamsubiri kwa hamu kubwa sana.
Mbunge anayemaliza muda wake anahaha kujinusuru.
Let us wait and see.
Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan
Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata