johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni ushauri tu kwa Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo kwamba afanye ziara hapo Rwanda yeye na wasaidizi wake watajifunza mambo mengi ya uchumi halisi na siyo wa kwenye karatasi.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mungu ni mwema wakati wote!