Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba akiwa Korogwe Vijijini: Tutawahudumia wazee waliolitumikia taifa letu

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234


TUTAWAHUDUMIA WAZEE WALIOLITUMIKIA TAIFA LETU" PROF. LIPUMBA"

TANGA-KOROGWE VIJIJINI

Tutaweka utaratibu wa kitaifa wa hifadhi ya wazee itakayohusisha jamii nzima kuwalea wazee wetu ambao wengi wao baada ya kulitumikia Taifa letu kwa muda mrefu wanaishi katika dimbwi la umasikini wa kutisha.

Hatua kwa hatua kila mzee atakuwa na haki ya kulipwa kila mwezi fao la uzee kwa ajili ya afya na hifadhi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…