Elections 2010 Prof. Lipumba azimiwa umeme geita

Elections 2010 Prof. Lipumba azimiwa umeme geita

mtemiwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
384
Reaction score
46
Tumesikia jinsi dr slaa alivyozimiwa umeme kule mbeya na rukwa,sasa leo ni zamu ya lipumba hapo geita,alipoingia tu asubui kufikia saa 5 umeme ukakatwa na wakazi wa geita leo watalala giza maana nackia lipumba atalala hapo.halafu hata dr slaa alipoingia geita jioni tar 12/09 umeme ulikatwa hadi alipoödoka.hv tanesco wanapata faida gani kwa hv vituko?
 
Back
Top Bottom