CUF Habari JF-Expert Member Joined Dec 12, 2019 Posts 239 Reaction score 234 Oct 12, 2020 #1 MKINICHAGUA OKTOBA 28, KUWA RAIS WA NCHI HII NITAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA" DODOMA- CHEMBA Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote Haki ya Elimu kwa kila Mtanzania Haki ya Lishe Bora na uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya Afya Bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya kuwa na ajira Bora, yenye ujira bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya kuwa tajiri kwa mapato halali kwa kila Mtanzania
MKINICHAGUA OKTOBA 28, KUWA RAIS WA NCHI HII NITAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA" DODOMA- CHEMBA Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote Haki ya Elimu kwa kila Mtanzania Haki ya Lishe Bora na uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya Afya Bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya kuwa na ajira Bora, yenye ujira bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya kuwa tajiri kwa mapato halali kwa kila Mtanzania