Prof. Lipumba hajui Siasa. Risasi 16 alizopigwa Lissu ni Mtaji wa kisiasa wa kumpeleka Ikulu kama Kifungo cha Mzee Mandela kilivyompeleka Ikulu!

Prof. Lipumba hajui Siasa. Risasi 16 alizopigwa Lissu ni Mtaji wa kisiasa wa kumpeleka Ikulu kama Kifungo cha Mzee Mandela kilivyompeleka Ikulu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna wakati Prof Lipumba alipigwa Kwenye harakati za kisiasa anafungwa pop mikononi, kila alipokwenda alikuwa anautanguliza ule mkono Watu wauone na hakuna aliyemlaumu.

Kifungo cha mzee Mandela gerezani lilikuwa mtaji na sifa kuu ya yeye Kuchaguliwa kuwa Rais wa SA.

Ni ama Prof Lipumba hajui Siasa au ni wivu tu unamsumbua.

Hata mh naniliu alipoanguka ghafla pale jangwani 2005 ile changamoto ikawa ni mtaji kwake.

Huyu Prof Lipumba ajadili mambo ya waganga wa Kienyeji Siasa haziwezi.

Mlale Unono!
 
Back
Top Bottom