Elections 2010 Prof. Lipumba kuibuka mshindi wa mwanzo

Elections 2010 Prof. Lipumba kuibuka mshindi wa mwanzo

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Kwa wale wengi waliokuwa wakitarajia kuwa Lipumba amepoteza wakati wake na kwa wale ambao walikuwa wakiamini kura za maoni zilizokuwa zikirushwa kwenye vyombo vya habari ndizo zinazoashiria Raisi mtarajiwa ,watu hao wote mtakuwa mmepotezwa na mtasaga meno mtakaposikia matokeo kuwa Mshindi wa Uchaguzi wa Uraisi ni Lipumba.

Mpaka hapa tulipo utafiti wa ndani kabisa ambao umekuwa ukiendeshwa kikampeni kwa kufuatilia target alizozilenga mgombea Uraisi wa CUF kwa upande wa Muungano zinaonyesha kuwa Lipumba amekubalika katika sehemu nyingi sana ,utafiti huo ambao uliwalenga registered voters walio katika ,mkusanyiko wa makundi ya mitaa ,mikusanyiko katika sehemu za ibada ,pia uliwalenga wakuu wa sehemu za vijiji (watu wanaokuwa na ushawishi mkubwa au wenye kukubalika mawazo yao na watu wa vijiji) umeonyesha kuwa Lipumba ndie mtu alieafikiwa ukilinganisha na viongozi au wagombea wengine.

Uchunguzi mwengine ambao huu uliendeshwa katika miji mikuu ulikuwa ni ule wa door to door au nyumba kwa nyumba ,huu uliwahusisha viongozi au valantia wa husika ambao wamo mitaani kuweza kupita na pia kuwatumia marafiki zao ,kupita nyumba kwa nyumba kutafuta maoni ,wengi sana walijibiwa kuwa Lipumba peke yake ndie mwenye uwezo na muelewa wa wapi tulipo WaTz na wapi tunapotaka kuelekea ,hivyo matarajio yao ni kumpa kura zao Lipumba , ikiwa uchaguzi utakuwepo na utakuwa wa amani.

Wote wa waliotakiwa kutoa maoni yao ni wale tu wenye shahada za kupigia kura ,na kampeni hiyo imefanyika na inaendelea kufanyika kwa nchi nzima ,na matokeo yake yanaridhisha sana sana kuwa Lipumba amekubalika vizuri kwa wapiga kura.

Baadhi ya waliochunguzwa maoni yao wamekiri kuwa wanahudhuria mikutano ya wagombea wote bila ya kuchagua kuwa huyu ni wa chama gani na wengine wamesema hawajawahi kuhudhuria mikutano ya Lipumba lakini wameona na kusoma kwenye sehemu mbalimbali ni jinsi gani Lipumba ana elimu ya kuweza kuwakomboa ,wahojiwa hao waliongezea kuwa kuhudhuria kwao kwenye mikutano ya vyama vingine kwa wingi kusichukuliwe kuwa wao watampigia kura mgombea huyo kwani wameshaamua ni wapi wanazipeleka kura zao.

Mtanzania uliebaki fahamu kuwa wengi wa WaTanzania wanafanya maamuzi makubwa kuhusu hatima ya nchi yao kwa kumchagua Lipumba ,na wewe shiriki na washawishi wengine kumchagua Lipumba ili muwemo katika historia hii ya kuiondoa CCM madarakani.
It will cost you nothing or harm you to vote for Lipumba ,timiza wajibu wako.
 
LIPUMBA.jpg
 
ni kweli atachukua kura nyingi saaana za Jakaya Mrisho Mwakikwete
 
Kwa wale wengi waliokuwa wakitarajia kuwa Lipumba amepoteza wakati wake na kwa wale ambao walikuwa wakiamini kura za maoni zilizokuwa zikirushwa kwenye vyombo vya habari ndizo zinazoashiria Raisi mtarajiwa ,watu hao wote mtakuwa mmepotezwa na mtasaga meno mtakaposikia matokeo kuwa Mshindi wa Uchaguzi wa Uraisi ni Lipumba.

Mpaka hapa tulipo utafiti wa ndani kabisa ambao umekuwa ukiendeshwa kikampeni kwa kufuatilia target alizozilenga mgombea Uraisi wa CUF kwa upande wa Muungano zinaonyesha kuwa Lipumba amekubalika katika sehemu nyingi sana ,utafiti huo ambao uliwalenga registered voters walio katika ,mkusanyiko wa makundi ya mitaa ,mikusanyiko katika sehemu za ibada ,pia uliwalenga wakuu wa sehemu za vijiji (watu wanaokuwa na ushawishi mkubwa au wenye kukubalika mawazo yao na watu wa vijiji) umeonyesha kuwa Lipumba ndie mtu alieafikiwa ukilinganisha na viongozi au wagombea wengine.

Uchunguzi mwengine ambao huu uliendeshwa katika miji mikuu ulikuwa ni ule wa door to door au nyumba kwa nyumba ,huu uliwahusisha viongozi au valantia wa husika ambao wamo mitaani kuweza kupita na pia kuwatumia marafiki zao ,kupita nyumba kwa nyumba kutafuta maoni ,wengi sana walijibiwa kuwa Lipumba peke yake ndie mwenye uwezo na muelewa wa wapi tulipo WaTz na wapi tunapotaka kuelekea ,hivyo matarajio yao ni kumpa kura zao Lipumba , ikiwa uchaguzi utakuwepo na utakuwa wa amani.

Wote wa waliotakiwa kutoa maoni yao ni wale tu wenye shahada za kupigia kura ,na kampeni hiyo imefanyika na inaendelea kufanyika kwa nchi nzima ,na matokeo yake yanaridhisha sana sana kuwa Lipumba amekubalika vizuri kwa wapiga kura.

Baadhi ya waliochunguzwa maoni yao wamekiri kuwa wanahudhuria mikutano ya wagombea wote bila ya kuchagua kuwa huyu ni wa chama gani na wengine wamesema hawajawahi kuhudhuria mikutano ya Lipumba lakini wameona na kusoma kwenye sehemu mbalimbali ni jinsi gani Lipumba ana elimu ya kuweza kuwakomboa ,wahojiwa hao waliongezea kuwa kuhudhuria kwao kwenye mikutano ya vyama vingine kwa wingi kusichukuliwe kuwa wao watampigia kura mgombea huyo kwani wameshaamua ni wapi wanazipeleka kura zao.

Mtanzania uliebaki fahamu kuwa wengi wa WaTanzania wanafanya maamuzi makubwa kuhusu hatima ya nchi yao kwa kumchagua Lipumba ,na wewe shiriki na washawishi wengine kumchagua Lipumba ili muwemo katika historia hii ya kuiondoa CCM madarakani.
It will cost you nothing or harm you to vote for Lipumba ,timiza wajibu wako.

Sawa bwana. Tumesikia.
 


Umeleta picha ya Dr Slaa akimpa shule (seminar) kilaza Kikwete?

Una nyingine?
 


Umeleta picha ya Dr Slaa akimpa shule (seminar) kilaza Kikwete?

Una nyingine?

Hapana Slaa ni sawa kupiga na kikwete ila Lipumba ni mamluki hii ndio siasa ya Chadema nimeipenda sana siasa hii lakini ni chungu maana ina harufu ya kibaguzi sijui wa kidini au wa kikabila wenyewe mnalijua hili. Kazi kwenu ila mjue muyafanyayo hayana nafasi kwenye nchi hii hatutakubali mshike dola tutafanya hivyo kwa kupiga kura na sio kupiga domo kwenye webusaiti. Mjue kuwa waliojiandikisha wasiokuwa na vyama ni wengi na wana maamuzi hasi juu ya chama chenu msibabaike na kura za maoni za JF maana jiulizeni waliopiga kura hapa JF ni asilimia ngapi ya waliojiandikisha kupiga kura? mkipata jibu mtajua nani ataibuka na ushindi.

Ni naamini mnalijua hili na ndio maana hamwishi kulialia mara sijui kura zenye tiki kwa JK zimeonekana mara TBC wanachakachua kura mara vile mara hivi nyie lalamikeni ila mjiandae kupokea matokeo siku hiyo ikifika.
 
Mpaka hapa tulipo utafiti wa ndani kabisa ambao umekuwa ukiendeshwa kikampeni kwa kufuatilia target alizozilenga mgombea Uraisi wa CUF kwa upande wa Muungano zinaonyesha kuwa Lipumba amekubalika katika sehemu nyingi sana ,utafiti huo ambao uliwalenga registered voters walio katika ,mkusanyiko wa makundi ya mitaa ,mikusanyiko katika sehemu za ibada ,pia uliwalenga wakuu wa sehemu za vijiji (watu wanaokuwa na ushawishi mkubwa au wenye kukubalika mawazo yao na watu wa vijiji) umeonyesha kuwa Lipumba ndie mtu alieafikiwa ukilinganisha na viongozi au wagombea wengine.

Mtanzania uliebaki fahamu kuwa wengi wa WaTanzania wanafanya maamuzi makubwa kuhusu hatima ya nchi yao kwa kumchagua Lipumba ,na wewe shiriki na washawishi wengine kumchagua Lipumba ili muwemo katika historia hii ya kuiondoa CCM madarakani.
It will cost you nothing or harm you to vote for Lipumba ,timiza wajibu wako.

Hapo kwenye red umepaona? Halafu utafiti wa ndani Lipumba ataibuka mshindi wa mwanzo kutoka mwisho? Sasa kama ni mshindi wa mwanzo unapiga kampeni tena humu JF? Hizi ni ndoto za mchana, ila una moyo kuweza kupingana na hali halisi, pole.
 
Kwa wale wengi waliokuwa wakitarajia kuwa Lipumba amepoteza wakati wake na kwa wale ambao walikuwa wakiamini kura za maoni zilizokuwa zikirushwa kwenye vyombo vya habari ndizo zinazoashiria Raisi mtarajiwa ,watu hao wote mtakuwa mmepotezwa na mtasaga meno mtakaposikia matokeo kuwa Mshindi wa Uchaguzi wa Uraisi ni Lipumba.

Mpaka hapa tulipo utafiti wa ndani kabisa ambao umekuwa ukiendeshwa kikampeni kwa kufuatilia target alizozilenga mgombea Uraisi wa CUF kwa upande wa Muungano zinaonyesha kuwa Lipumba amekubalika katika sehemu nyingi sana ,utafiti huo ambao uliwalenga registered voters walio katika ,mkusanyiko wa makundi ya mitaa ,mikusanyiko katika sehemu za ibada ,pia uliwalenga wakuu wa sehemu za vijiji (watu wanaokuwa na ushawishi mkubwa au wenye kukubalika mawazo yao na watu wa vijiji) umeonyesha kuwa Lipumba ndie mtu alieafikiwa ukilinganisha na viongozi au wagombea wengine.

Uchunguzi mwengine ambao huu uliendeshwa katika miji mikuu ulikuwa ni ule wa door to door au nyumba kwa nyumba ,huu uliwahusisha viongozi au valantia wa husika ambao wamo mitaani kuweza kupita na pia kuwatumia marafiki zao ,kupita nyumba kwa nyumba kutafuta maoni ,wengi sana walijibiwa kuwa Lipumba peke yake ndie mwenye uwezo na muelewa wa wapi tulipo WaTz na wapi tunapotaka kuelekea ,hivyo matarajio yao ni kumpa kura zao Lipumba , ikiwa uchaguzi utakuwepo na utakuwa wa amani.

Wote wa waliotakiwa kutoa maoni yao ni wale tu wenye shahada za kupigia kura ,na kampeni hiyo imefanyika na inaendelea kufanyika kwa nchi nzima ,na matokeo yake yanaridhisha sana sana kuwa Lipumba amekubalika vizuri kwa wapiga kura.

Baadhi ya waliochunguzwa maoni yao wamekiri kuwa wanahudhuria mikutano ya wagombea wote bila ya kuchagua kuwa huyu ni wa chama gani na wengine wamesema hawajawahi kuhudhuria mikutano ya Lipumba lakini wameona na kusoma kwenye sehemu mbalimbali ni jinsi gani Lipumba ana elimu ya kuweza kuwakomboa ,wahojiwa hao waliongezea kuwa kuhudhuria kwao kwenye mikutano ya vyama vingine kwa wingi kusichukuliwe kuwa wao watampigia kura mgombea huyo kwani wameshaamua ni wapi wanazipeleka kura zao.

Mtanzania uliebaki fahamu kuwa wengi wa WaTanzania wanafanya maamuzi makubwa kuhusu hatima ya nchi yao kwa kumchagua Lipumba ,na wewe shiriki na washawishi wengine kumchagua Lipumba ili muwemo katika historia hii ya kuiondoa CCM madarakani.
It will cost you nothing or harm you to vote for Lipumba ,timiza wajibu wako.
:dance::dance::dance::dance:
 
hahahaaaaaa!!! mie ndio doctor wa mapenzi,silaha,hakika nikiwa rais wa tanzania mtanikomaje??
 
Back
Top Bottom