Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asikilizwe na nani mjomba?Prof lipumba pumba ana hoja asikilizwe.
Hayo maneno yake ukifika wakati wa uchaguzi mkuu CCM wakahitaji msaada wake atakuwa wa kwanza kuutoa bila masharti yoyote.
Kusema Chadema wana pesa ni kwasababu wanapewa ruzuku kisheria, yeye kama anaona chama chake kina sifa halafu hakipewi ruzuku aende mahakamani.
Kwani wakati ule alivyoenda kujificha Rwanda wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu alilipwa pesa ngapi na marafiki zake wa CCM?
Ndiyo akome.Kapwelewa. Hakujua hata umuhimu wa Maalim Seif CUF ulikuwa upi. Sasa inamfia mikononi.
KamsikilizeProf lipumba pumba ana hoja asikilizwe.
Kwani kaongea kwa lugha gani hadi uhitajike mkalimani wewe?Anachosema Lipumba ni kwamba Chadema mmewanunua akina Kambaya ili muonekane kama mnapendwa!
Kama mtu aliko ni kwa Lipumba au wenziwe kwanini asione yuko upande siyo na kuchukua hatua?Siasa za Tanzania ni ujinga mtupu
" Chadema Wana hela" 🤩🤩🤩Kwani kaongea kwa lugha gani hadi uhitajike mkalimani wewe?
" Chadema Wana hela" 🤩🤩🤩
Wengine walikuwa hawajaelewa
Proposa anaweweseka.Hayo maneno yake ukifika wakati wa uchaguzi mkuu CCM wakahitaji msaada wake atakuwa wa kwanza kuutoa bila masharti yoyote.
Kusema Chadema wana pesa ni kwasababu wanapewa ruzuku kisheria, yeye kama anaona chama chake kina sifa halafu hakipewi ruzuku aende mahakamani.
Kwani wakati ule alivyoenda kujificha Rwanda wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu alilipwa pesa ngapi na marafiki zake wa CCM?
Eti huyu ndo aliwahi kuwa mshauri wa uchumi wa MU7, kumbe ndio sababu uchumi wa Uganda umekufa fofofo....Amesikika Prof. Lipumba:
View attachment 2547488
Kumbe wapinzani ni CUF ya kwake na kwamba CDM si mali kitu..
Kwanini mtu asimwelewe Dkt. Mollel?
View attachment 2547496
Eti huyu ndo aliwahi kuwa mshauri wa uchumi wa MU7, kumbe ndio sababu uchumi wa Uganda umekufa fofofo....
Kwani uchaguzi ulikuwa halali?Hayo maneno yake ukifika wakati wa uchaguzi mkuu CCM wakahitaji msaada wake atakuwa wa kwanza kuutoa bila masharti yoyote.
Kusema Chadema wana pesa ni kwasababu wanapewa ruzuku kisheria, yeye kama anaona chama chake kina sifa halafu hakipewi ruzuku aende mahakamani.
Kwani wakati ule alivyoenda kujificha Rwanda wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu alilipwa pesa ngapi na marafiki zake wa CCM?