Prof. Lipumba kumbe angalipo

Prof. Lipumba kumbe angalipo

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Amesikika Prof. Lipumba:

Screenshot_20230312-134247.jpg


Kumbe wapinzani ni CUF ya kwake na kwamba CDM si mali kitu..

Kwanini mtu asimwelewe Dkt. Mollel?

FpojyuNWIAAJNp3.jpeg
 
Hayo maneno yake ukifika wakati wa uchaguzi mkuu CCM wakahitaji msaada wake atakuwa wa kwanza kuutoa bila masharti yoyote.

Kusema Chadema wana pesa ni kwasababu wanapewa ruzuku kisheria, yeye kama anaona chama chake kina sifa halafu hakipewi ruzuku aende mahakamani.

Kwani wakati ule alivyoenda kujificha Rwanda wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu alilipwa pesa ngapi na marafiki zake wa CCM?
 
Hayo maneno yake ukifika wakati wa uchaguzi mkuu CCM wakahitaji msaada wake atakuwa wa kwanza kuutoa bila masharti yoyote.

Kusema Chadema wana pesa ni kwasababu wanapewa ruzuku kisheria, yeye kama anaona chama chake kina sifa halafu hakipewi ruzuku aende mahakamani.

Kwani wakati ule alivyoenda kujificha Rwanda wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu alilipwa pesa ngapi na marafiki zake wa CCM?

Kapwelewa. Hakujua hata umuhimu wa Maalim Seif CUF ulikuwa upi. Sasa inamfia mikononi.
 
Hayo maneno yake ukifika wakati wa uchaguzi mkuu CCM wakahitaji msaada wake atakuwa wa kwanza kuutoa bila masharti yoyote.

Kusema Chadema wana pesa ni kwasababu wanapewa ruzuku kisheria, yeye kama anaona chama chake kina sifa halafu hakipewi ruzuku aende mahakamani.

Kwani wakati ule alivyoenda kujificha Rwanda wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu alilipwa pesa ngapi na marafiki zake wa CCM?
Proposa anaweweseka.
 
propesa pumba alisaidiwa na seriakali ya ccm kubaki na account ya benki iliyokuwa na pesa za CUF ya Marehemu Seif Hamad! akaanza kuzitumua na makahaba wenzie hadi zimeisha|! sasa propesa pumba hana mbele wala nyuma!
 
Hayo maneno yake ukifika wakati wa uchaguzi mkuu CCM wakahitaji msaada wake atakuwa wa kwanza kuutoa bila masharti yoyote.

Kusema Chadema wana pesa ni kwasababu wanapewa ruzuku kisheria, yeye kama anaona chama chake kina sifa halafu hakipewi ruzuku aende mahakamani.

Kwani wakati ule alivyoenda kujificha Rwanda wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu alilipwa pesa ngapi na marafiki zake wa CCM?
Kwani uchaguzi ulikuwa halali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom