Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
naam hayo ndo maneno
si ya yule mwenzetu kutaka kuhatarisha amani
wabunge wa upinzani watumwe kazi ya kuhakikisha wanipressurelize serikali kuja na katiba mpya na kuunda tume huru na so kuhatarisha amani na kuhubiri fujo kama dr wa .....
...amtaka JK kuirekebisha...
Frankly, I don't trust Lipumba as real man of change...naamini ni walewale kasoro tarehe!
Miaka yote profesa analia na TUME lakini hawamuelewi, je mumemsahau kuwa ni profesa huyuhuyu aliyevunjwa mkono kwa kulia na TUME??? ni huyuhuyu alietiwa Rumande na serikali kwa kuisema ila watu wanasahau.. Je hamjiulizi kwanini hakulalamika kabla ya matokeo? au mmesahau kwamba hata vyombo vya habari vilitiwa shinikizo toka wakati huo ili asitajwe-tajwe akaja kuwa soo huko mbele.:thinking: naye akatumia busara kwenda vijijini ambako mageuzi ni haba wajue kwamba si CCM pekee yenye mgombea u-Rais wapo na wengine. Je mmeshasahau kuna kijiji watu wameuawa na kuhamishwa ili kupisha utalii, angeliyagunduaje hayo??? sihitaji kusema sana apo ila yeye ni MSOMI aliebobea katika Utawala na Uchumi anajua nini cha kufanya na nini amefanya. MTATIRO anajua kuna nini kwa Profesa cha kujifunza maana ndio changamoto ijayo kwa CCM toka kwa CUF. Mnaosema CUF ni Msoda wa CCM hamjui kwanini CUF wamefanya vile, fanyeni utafiti nje ya mduara mtapata ufumbuzi...Alipokuwa anawapiga madongo tume CCM wakaanza piga kerere ila msg sent