Tetesi: Prof.lumumba wa kenya huwatendei haki watanzania unatuudhi bora ungekaa kimya

Tetesi: Prof.lumumba wa kenya huwatendei haki watanzania unatuudhi bora ungekaa kimya

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kuna prof mmoja wa Kenya wengi mnamjua kwa mbwembwe za kingereza chake

Huyu jamaa mwanzoni alijizolea sifa nyingi Sana Tanzania kwa namna anavyoongea kingereza chake na ile intonation yake (kiimbo) anavyovuta sauti kwa msisitizo

Ila sijui alikula maharage ya wapi Mara akaanza kumsifia mh magufuli sasa kumsifu mtu sio jambo baya ila sifa hizo ziendane na uhalisia

Huyu prof akaenda mbali mpk kutengeneza msamiati wake eti kuna pepa yake ameiita THE MAGULIFICATION OF AFRICA kimsingi cc tulioko Tanzania tunaona tofauti na anavyoona prof huyu sikatai mh magufuli ana mazuri yake Kama binadamu ila sidhani Kama mazuri yake Yana outnumber Mabaya yake kiasi cha kustahili hizo sifa

I wish prof huyo ambaye kwasasa hapa Tanzania umaarufu wake ume nose dive asome hili bandiko langu au walioko karibu naye wamwambie bwana kuna mtu anaitwa superbug anakuona wewe ni prof tapeli kanjanja kwa kuwapa watu sifa za uongo wasizostahili na matokeo yake anawapa ithibati ya kimataifa aone Kane ni mwema huku watz wakiumia

Mfano mdogo Amezungumzia mshana maendeleo ni watu sio vitu kitu Pekee ninachompongeza magufuli ni umeme WA stiglaz goj baaasi

Anyway naamini ujumbe wangu utafika kwa prof lumumba we hate you ugly face prof from Kenya
 
Mi nadhani alikuwa akimsifu mwaka ule wa Kwanza wa Magu,mwaka ambao waliompigia kura Lowasa wengi wao walijuta kwa muda. Au ni mpaka Sasa anamsifu?
 
Kuna prof mmoja wa Kenya wengi mnamjua kwa mbwembwe za kingereza chake

Huyu jamaa mwanzoni alijizolea sifa nyingi Sana Tanzania kwa namna anavyoongea kingereza chake na ile intonation yake (kiimbo) anavyovuta sauti kwa msisitizo

Ila sijui alikula maharage ya wapi Mara akaanza kumsifia mh magufuli sasa kumsifu mtu sio jambo baya ila sifa hizo ziendane na uhalisia

Huyu prof akaenda mbali mpk kutengeneza msamiati wake eti kuna pepa yake ameiita THE MAGULIFICATION OF AFRICA kimsingi cc tulioko Tanzania tunaona tofauti na anavyoona prof huyu sikatai mh magufuli ana mazuri yake Kama binadamu ila sidhani Kama mazuri yake Yana outnumber Mabaya yake kiasi cha kustahili hizo sifa

I wish prof huyo ambaye kwasasa hapa Tanzania umaarufu wake ume nose dive asome hili bandiko langu au walioko karibu naye wamwambie bwana kuna mtu anaitwa superbug anakuona wewe ni prof tapeli kanjanja kwa kuwapa watu sifa za uongo wasizostahili na matokeo yake anawapa ithibati ya kimataifa aone Kane ni mwema huku watz wakiumia

Mfano mdogo Amezungumzia mshana maendeleo ni watu sio vitu kitu Pekee ninachompongeza magufuli ni umeme WA stiglaz goj baaasi

Anyway naamini ujumbe wangu utafika kwa prof lumumba we hate you ugly face prof from Kenya
Unaposema sisi tulioko Tanzania tunaona tofauti' ni uongo kwani unatujumlisha na wengine ambao tunaona anayosema ni sahihi. Jisemee mwenyewe tu kwamba wewe binafsi hukubaliani na fikra zake. Si swali la Kiingereza tu. Aliyekuwa anakimudu Kimombo alikuwa marehemu Prof. Ali Mazrui. Niliwahi kukutana na Profesa Mwingereza ambaye alikuwa anaogopa hata kulinganisha Kiingereza chake (yeye akiwa Mwingereza halisi) na cha Mazrui. Kuna mwaka Mazrui alikuja Chuo Kikuu cha D'salaam kutoa public lecture wakati mimi nikiwa mwanafunzi hapo. Alipozidiwa hoja akatumia uwezo wake wa kuimudu lugha na kubabaisha tu watu wakacheka na majadiliano yakaishia hapo. Si hivyo kwa Lumumba. Kama unapingana na mawazo yake toa na wewe hoja yako kupinga hoja maalumu ya Lumumba tusikie na wewe mawazo yako. Mbaya zaidi unaishia kutukana tu kwamba 'we hate your ugly face Prof. from Kenya' wakati tupo wengi tu tunaoridhika na hoja zake. Jisemee mwenyewe na wewe toa hoja zako tuzijadili. Mpiku kwa hoja. Si kwa matusi.
 
Kuna prof mmoja wa Kenya wengi mnamjua kwa mbwembwe za kingereza chake

Huyu jamaa mwanzoni alijizolea sifa nyingi Sana Tanzania kwa namna anavyoongea kingereza chake na ile intonation yake (kiimbo) anavyovuta sauti kwa msisitizo

Ila sijui alikula maharage ya wapi Mara akaanza kumsifia mh magufuli sasa kumsifu mtu sio jambo baya ila sifa hizo ziendane na uhalisia

Huyu prof akaenda mbali mpk kutengeneza msamiati wake eti kuna pepa yake ameiita THE MAGULIFICATION OF AFRICA kimsingi cc tulioko Tanzania tunaona tofauti na anavyoona prof huyu sikatai mh magufuli ana mazuri yake Kama binadamu ila sidhani Kama mazuri yake Yana outnumber Mabaya yake kiasi cha kustahili hizo sifa

I wish prof huyo ambaye kwasasa hapa Tanzania umaarufu wake ume nose dive asome hili bandiko langu au walioko karibu naye wamwambie bwana kuna mtu anaitwa superbug anakuona wewe ni prof tapeli kanjanja kwa kuwapa watu sifa za uongo wasizostahili na matokeo yake anawapa ithibati ya kimataifa aone Kane ni mwema huku watz wakiumia

Mfano mdogo Amezungumzia mshana maendeleo ni watu sio vitu kitu Pekee ninachompongeza magufuli ni umeme WA stiglaz goj baaasi

Anyway naamini ujumbe wangu utafika kwa prof lumumba we hate you ugly face prof from Kenya
Huwa akialikwa udsm na profesa Mukandala anavuta dola ndefu ili amsifie Jiwe
 
Professors wa ki Africa wa hovyo sana.
Angalia hata Lipumba , marehemu Machunda na hata huyu Lumumba. UtamshabikiaJe mtu anayesema KATIBA si kipaumbele chake ??!!.

Mwambieni Lumumba aje kwa wafugaji, wavuvi ,wafanyakazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom