Prof Makame Mbarawa hatoshi Ujenzi na Mawasiliano?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Your browser is not able to display this video.

Kwa Prof Mbarawa sasa majipu yanalipuka kila uchao ndani ya wizara yake.
Tumeona ya Precision Bukoba, tumesikia ya ndege za Air Tanzania kuwa grounded.
Huko SGR na matreni bado kizungumkuti, mapya si mapya(mi nafikiri mapya).

Sasa nimeona clip hii ya ukakasi Airport entrance gates.
Management ya Taasisi chini ya Wizara zina matatizo, uswahili umerudi kwa kasi.
Mbarawa unatosha?
 
Mwanzo akipewa madaraka na Magufuli nilimuelewa sana sababu najua uchapakazi wake, baadae akatumbuliwa hakurudishwa, pale sikumuelewa Magufuli..

Lakini kwa haya yanayoendelea sasa wizara ya Ujenzi chini yake, naanza kuona Magufuli aliona mbali zaidi yangu wakati ule, ila huyu aliyekuja kumrudisha, alimrudisha kwa sababu ya Mbarawa kuwa "mtu wa nyumbani" na sio zaidi ya hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…