johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema hadi sasa 2.2% ya watanzania wameshapata chanjo ya covid 19 na hakuna maambukizi mapya yaliyoripotiwa.
Makubi amewataka wananchi wajitokeze kwa wingi kupata chanjo.
Source: Star tv
Makubi amewataka wananchi wajitokeze kwa wingi kupata chanjo.
Source: Star tv