Prof mark mwandosya na mwakyembe washangazwa na nyufa katika majengo ya udom

Prof mark mwandosya na mwakyembe washangazwa na nyufa katika majengo ya udom

POMPO

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
6,690
Reaction score
2,401
Wakuu! Leo Prof. Mwandosya alitembelea mradi wa visima vya maji katika chuo kikuu cha dodoma na kushangazwa sana na nyufa katika majengo ya U-DOM. Na kuhoji iweje majengo yenye miaka4 tu yawe na nyufa aliakua... alitegemea baada ya miaka 400.? Why not UDSM? alihoji. Nae nw wa ujezi. Dr. Mwakyembe amesema mradi wenyewe haujaisha na kwamba mradi wa ujenzi UDOM uwe unaangaliwa na wizara yake... Na kuahidi atafuatilia issue hiyo..!
My take:
nyufa hizo zimetokea leo ghafla ama kitambo? Wakati JK anazindua UDOM kwa mbembwe TISS hawakumueleza majengo mabovu? PINDA nae alienda 2 times, hawakusituka mpaka w wa maji?
 
Wakuu! Leo Prof. Mwandosya alitembelea mradi wa visima vya maji katika chuo kikuu cha dodoma na kushangazwa sana na nyufa katika majengo ya U-DOM. Na kuhoji iweje majengo yenye miaka4 tu yawe na nyufa aliakua... alitegemea baada ya miaka 400.? Why not UDSM? alihoji. Nae nw wa ujezi. Dr. Mwakyembe amesema mradi wenyewe haujaisha na kwamba mradi wa ujenzi UDOM uwe unaangaliwa na wizara yake... Na kuahidi atafuatilia issue hiyo..!
My take:
nyufa hizo zimetokea leo ghafla ama kitambo? Wakati JK anazindua UDOM kwa mbembwe TISS hawakumueleza majengo mabovu? PINDA nae alienda 2 times, hawakusituka mpaka w wa maji?

Bwana mdogo POMPO tulia, ya nchi hii huyamalizi.
Ukiambiwa kuna UDOM kadhaa kwenye wallet za mafisadi wetu utapata picha?
Nadhani unanielewa.
 
Ha ha ha Sigma that is the trueth bra, but Tanzanian now they are very clever, no ignorant . Wait... there is something to come very soon... ...+...= ...
 
Back
Top Bottom