Prof. Mbarawa usidanganye Umma juu ya mikataba ya ujenzi

Prof. Mbarawa usidanganye Umma juu ya mikataba ya ujenzi

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Nimemsikiliza waziri wa Ujenzi, Prof Mbarawa, juu ya mikataba ya Ujenzi juu ya aina ya mikataba ya ujenzi.

Alikuwa akiongea na ITV wakati wa ziara ya Kamati ya Miundombinu ya Bunge.

Ati kuna Fixed Price Contracts na Contracts zenye variations. Prof Mbarawa si mhandisi wa Ujenzi wala kisomo chake hakihusiani na maswala ya ujenzi.

Fixed Price Contracts kinadharia katika ujenzi, kitu hicho ni kuifurahisha serikali na wanasiasa tu.

Katika ujenzi kuna mabadiliko kila kukicha kutokana na mambo ambayo yanaihusisha serikali na mengine yako nje ya uwezo wa serikali.

Mkandarasi anafanya mahesabu ya mkataba kutokana na gharama halisi kwa wakati huo zilizopo nchini.
Sasa katikati ya mradi, serikali inaongeza mishahara kama ilivyotokea Januari 2023.

Tena kati kati ya mradi bei ya mafuta insongezeka kwa Tshs 1000, hivyo gharama nyingine zote zinapanda, hasa usafirishaji wa vifaa vya ujenzi.

Hapo sasa unamtaka mkandarasi abebe gharama ambazo serikali imeshindwa kuzidhibiti, na inataka mtu mwingine abebe mzigo wa gharama za mabadiliko ya bei za ujenzi kama ilivyo katika mkataba.

Hivyo basi tusiwadanganye wananchi kwa udhaifu wetu wa kufikiri katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi.
Prof Mbarawa hspo umebugi.
 
Nimemsikiliza waziri wa Ujenzi, Prof Mbarawa, juu ya mikataba ya Ujenzi juu ya aina ya mikataba ya ujenzi.

Alikuwa akiongea na ITV wakati wa ziara ya Kamati ya Miundombinu ya Bunge.

Ati kuna Fixed Price Contracts na Contracts zenye variations.
Prof Mbarawa si mhandisi wa Ujenzi wala kisomo chake hakihusiani na maswala ya ujenzi.
Fixed Price Contracts kinadhari kitu hicho ni kuifurahisha serikali na wanasiasa tu.
Katika ujenzi kuna mabadiliko kila kukicha kutokana na mambo ambayo yanaihusisha serikali na mengine yako nje ya uwezo wa serikali.

Mkandarasi anafanya mahesabu ya mkataba kutokana na gharama zilizopo nchini.
Sasa katikati ya mradi, serikali inaongeza mishahara kama ilivyotokea Januari 2023.
Tena kati kati ya mradi bei ya mafuta insongezeka kwa Tshs 1000, hivyo gharama nyingine zote zinapanga, hasa usafirishaji wa vifaa vya ujenzi.

Hapo sasa unamtaka mkandarasi abebe gharama ambazo serikali imeshindwa kuzidhibiti., na inataka mtu mwingine abebe mzigo wa gharama za mabadiliko ya bei za ujenzi kama ilivyo katika mkataba.

Hivyo basi tusiwadanganye wananchi kwa udhaifu wetu wa kufikiri katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi.
Prof Mbarawa hspo umebugi.
Mbawala alikuja tanga kukagua barabara inayojegwa na wachina from Tanga to Pangani. Ilikuwa mwaka juzi kama december /november.

Akasema by February nexy year ie 2022 itakuwa imeisha. Mwaka 2022, umeisha na sasa wameongezewa mwka mmoja! Huyu naye ni hao haop wa CCM
 
Mbawala alikuja tanga kukagua barabara inayojegwa na wachina from Tanga to Pangani. Ilikuwa mwaka juzi kama december /november. Akasema by February nexy year ie 2022 itakuwa imeisha. Mwaka 2022, umeisha na sasa wameongezewa mwka mmoja! Huyu naye ni hao haop wa CCM
Mbalawa achunguzwe
 
Ni mhandisi wa nini?
Nimemsikiliza waziri wa Ujenzi, Prof Mbarawa, juu ya mikataba ya Ujenzi juu ya aina ya mikataba ya ujenzi.

Alikuwa akiongea na ITV wakati wa ziara ya Kamati ya Miundombinu ya Bunge.

Ati kuna Fixed Price Contracts na Contracts zenye variations. Prof Mbarawa si mhandisi wa Ujenzi wala kisomo chake hakihusiani na maswala ya ujenzi.

Fixed Price Contracts kinadharia katika ujenzi, kitu hicho ni kuifurahisha serikali na wanasiasa tu.

Katika ujenzi kuna mabadiliko kila kukicha kutokana na mambo ambayo yanaihusisha serikali na mengine yako nje ya uwezo wa serikali.

Mkandarasi anafanya mahesabu ya mkataba kutokana na gharama halisi kwa wakati huo zilizopo nchini.
Sasa katikati ya mradi, serikali inaongeza mishahara kama ilivyotokea Januari 2023.

Tena kati kati ya mradi bei ya mafuta insongezeka kwa Tshs 1000, hivyo gharama nyingine zote zinapanda, hasa usafirishaji wa vifaa vya ujenzi.

Hapo sasa unamtaka mkandarasi abebe gharama ambazo serikali imeshindwa kuzidhibiti, na inataka mtu mwingine abebe mzigo wa gharama za mabadiliko ya bei za ujenzi kama ilivyo katika mkataba.

Hivyo basi tusiwadanganye wananchi kwa udhaifu wetu wa kufikiri katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi.
Prof Mbarawa hspo umebugi.
 
Nadhani wengi wa hawa walamba asali wanahitaji tight supervision na kuaminishwa kuwa hakuna maelekezo utakayopewa kutenda wajibu wako ila utawajibika kwa kila maamuzi utakayoyafanya.

Niliona Kassim alivyokuwa mchapa kazi, huyu Mbarawa, kuna wakati watu wakaanza kudhani ndiye anayefuata baada ya Jiwe.

Ummy alikuwa oya oya, Jafo ndo usiseme, pia wakadhani ndiye, kule Ulinzi, Hussein akapendwa na geshi inasemekana, Lukuvi akiwa moto wa kifuu.

Sijui imekuaje mpaka wakawaje!
 
Back
Top Bottom