Prof MCHOME TCU HADI WIZARA YA ELIMU

Prof MCHOME TCU HADI WIZARA YA ELIMU

structuralist

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,230
Reaction score
907
Katika mabadiliko yaliyofanywa na rais kikwete kwa makatibu wakuu,hatimae neema yamuangukia aliyekuwa mtendaji mkuu wa tume ya vyuo vikuu ( TCU) Prof Sifuni mchome baada ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi. Hebu wadau tujiulize je changamoto za wizara ya elimu zitapata ufumbuzi wa haraka kwa ujio wa prof mchome? kwanini unasema hivyo? Na je nini athari (nzuri au mbaya) za kuondoka kwa Prof Mchome TCU? Je taifa litajivunia nini hasa katika mfumo wa udahili na uendeshwaji wa vyuo vikuu enzi za Prof Mchome TCU?
 
Changamoto zipo palepale hazipatapata ufumbuzi mkuu kutokana na mfumo mbovu sekta ya elimu iliyojingea tangu awali.
 
hizo mbwembwe tu!lakini TCU,kajitaidi wakuu,ila pale anapokwenda sasa,ni hari...........mfumo umeoza.:kev:
 
Back
Top Bottom