upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Kutokana na kuwepo kwa vikundi vingi vidogovidogo vya wajasiriamali vinavyozalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo za vyakula wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro, vikundi hivyo vimeahidiwa kutafutiwa wakala wa Vipimo hapa nchini TBS ili waweze kuwafikia wajasiriamali hao na kupima bidhaa zao ikiwa kama njia yakuziongezea thamani ili ziweze kuuzika ndani nanje ya nchi.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ahadi hiyo imetolewa na Mbunge wa Rombo Prof.Adolf Mkenda Jumanne ya March 11, 2025 wakati akiwahutubia wanawake wawilaya ya Rombo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani iliyoadhimishwa na wanawake wilayani humo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ahadi hiyo imetolewa na Mbunge wa Rombo Prof.Adolf Mkenda Jumanne ya March 11, 2025 wakati akiwahutubia wanawake wawilaya ya Rombo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani iliyoadhimishwa na wanawake wilayani humo.