Pre GE2025 Prof. Mkenda kusaidia vikundi vidogo kufikiwa na TBS

Pre GE2025 Prof. Mkenda kusaidia vikundi vidogo kufikiwa na TBS

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Kutokana na kuwepo kwa vikundi vingi vidogovidogo vya wajasiriamali vinavyozalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo za vyakula wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro, vikundi hivyo vimeahidiwa kutafutiwa wakala wa Vipimo hapa nchini TBS ili waweze kuwafikia wajasiriamali hao na kupima bidhaa zao ikiwa kama njia yakuziongezea thamani ili ziweze kuuzika ndani nanje ya nchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ahadi hiyo imetolewa na Mbunge wa Rombo Prof.Adolf Mkenda Jumanne ya March 11, 2025 wakati akiwahutubia wanawake wawilaya ya Rombo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani iliyoadhimishwa na wanawake wilayani humo.

 
Back
Top Bottom