Corona ndiiyo njia rahisi sana kwa sasa.Gaidi au jasusi akitaka kukuangamiza kupitia bidhaa unazoagiza ni lazima asubiri corona?
Hawezi kutumia hizo ARV au bidhaa nyingine kukushambulia?
Inawezekana kabisa wapo maprof wengi tu hapa tz hawana akili unataka nikutajieUnaweza kupewa uprofesa wakati huna akili. Mbona wewe usiye na akili hujapewa uprofessa? Si kadai basi wakupe?
Kwa hiyo serikali haina uwezo wa kutambua kuwa shehena hii ya barakoa ina simu au kitu kibaha na itawadhuru wananchi.Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na yale nyemelezi katika taasisi ya Jakaya Kikwete Prof Nyagori amesema magaidi au watu wenye nia ovu wanaweza kutumia barakoa kusambaza virusi vya Corona...
Tena yaliyopitiiza...kwa kipi hasa mpk wazungu watake kutumaliza?? Yaaani dunia nzima sisi ndo matajiri? Kwa uchumi gani hasa uliozidi SA na nchi zingine Africa? Hizo barakoa toka zinafika kiwandani mpk uje uvae virusi vimekaa hai tu?Mawazo ya kimaskini sana hayo
Siku moja ina masaa mangapi vile?Kwani umezuiwa si ununue uvae na ujifungie ndani na usitoke hadi corona iishe
Mimi katika hili nipo pamoja na magu[emoji91][emoji111]
Science yako ni kama ile ya jiwe, acha kujifanya mjuajiKwani inavishwa na pua? Au wewe ukishajivisha, hayo mafuta yake huwa unajipaka puani na mdomoni na mpenzi wako unampaka puani? Mind you virusi vya corona haviwezi kuishi kwenye hayo mafuta ya condom. Hivyo unaweza kuyatumia kama sanitizer madhubuti. It is science...
Ndizo sehemu ambazo vvu hupitia. Ukimwi haupitii mdomoni wala puani kwa taarifa yako. Ni kwenye urethra yako au rectum yako.Watu mna IQ ndogo sana, yaani hata jambo kama hilo limekushinda unawaza urethra na rectum??
Ni ya kiwango cha PhD.Science yako ni kama ile ya jiwe, acha kujifanya mjuaji
Tabia ya umalaya iko huko kwa wazungu hadi kufikia kiwango cha madume kufyekana na madume wenzao na mijike kufyekana na mijike mwyenzao.Dawa ni kuacha kuruka ruka kma digi digi... mfano ni mwanaume mmoja kazalisha wanawake zaidi ya mmoja... means ni anakwenda peku peku... hapo condom imeleta vipi ukimwi wkt kautafuta peku peku. Acha kusingizia condom..tabia za kimalaya ndio chanzo. Mnaeletwa condom mpunguze na kuzaa zaa hovyo mnatia mataifa tajiri gharama za kuwapa madawa na misaada .
Unajua akili inapimwaje? Unajua maana ya akili na sayansi ya akili (mental science)?Inawezekana kabisa wapo maprof wengi tu hapa tz hawana akili unataka nikutajie
Maskini watanzania sisi tuna nn Hadi tuwe target na Magaidi nadhani kama nikuuawa mbona tumeshamalizwa Simu zote nguruwe Na Dawa vitu vya supermarket magari Jamani Embu hawa they so called wasomi wasituone wajingaKwenye condom na ARV vipi? Mabeberu hawawezi kuweka virus? Huyu professor Hana tofauti gani na darasa la Sana?
wajinga wajinga nani kakaambia hii virus inaweza kukaa kwenye kitu kwa muda mrefu kama ni hivyo basi hata vyakula tungesema vina Corona. Msituone wote hapa ni wajingaDaktari bingwa wa magonjwa ya moyo na yale nyemelezi katika taasisi ya Jakaya Kikwete Prof Nyagori amesema magaidi au watu wenye nia ovu wanaweza kutumia barakoa kusambaza virusi vya Corona...
Kuna shehena za kondomu tumeletewa zikateketezwa baada ya kugungulika hazikuwa salama. How old are you?!Kwenye condom na ARV vipi? Mabeberu hawawezi kuweka virus?
Ujinga ni mzigo. Kama mtu ana PhD anasema siku ina saa 48 mbele ya halaiki. Unategemea huyu anayepigania ugali wake aseme nini?Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na yale nyemelezi katika taasisi ya Jakaya Kikwete Prof Nyagori amesema magaidi au watu wenye nia ovu wanaweza kutumia barakoa kusambaza virusi vya Corona...
Inawezekana kabisa wapo maprof wengi tu hapa tz hawana akili unataka nikutajie
Kwa ukata wa uchumi wa Kati,huyu akafukuzia uteuziDaktari bingwa wa magonjwa ya moyo na yale nyemelezi katika taasisi ya Jakaya Kikwete Prof Nyagori amesema magaidi au watu wenye nia ovu wanaweza kutumia barakoa kusambaza virusi vya Corona...
Sweden, as we have seen, chose a different path. The Swedish public health agency has consistently stated that masks are ineffective and that their use could actually increase the spread of COVID-19 — a common view at the beginning of the pandemic but a rare one now.Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na yale nyemelezi katika taasisi ya Jakaya Kikwete Prof Nyagori amesema magaidi au watu wenye nia ovu wanaweza kutumia barakoa kusambaza virusi vya Corona....