Prof kapigwa chini kula za maoni! Aisee
Ni kweli mkuu,maana huyu jamaa anapenda sana kuwa mpinzani,kaona UKAWA wana karibia kushika dola,sasa kaamua kukimbilia kwa Upinzani mtarajiwa(sisi emu).Huwezi kumtofautisha lipumba na ccm
Alikuwa ana mtoto mmoja ambaye alikuwa akisomea degree ya udaktari wa meno miaka ya 2008/09 hapo Muhimbili. Dada yule Eliza alikuwa hajaumbika, lakini Mungu hakumsahau akamjalia nyodo... Mtoto wa waziri wa Sayansi na Teknolojia tena!!!
aende chadema atapata nafasi ya kugombea...
Ni kweli mkuu,maana huyu jamaa anapenda sana kuwa mpinzani,kaona UKAWA wana karibia kushika dola,sasa kaamua kukimbilia kwa Upinzani mtarajiwa(sisi emu).
Hahaaaa umeua mkuuAlikuwa na sura kama kifuu
Kuna wakati Huwa hakuna Tofauti kati ya Profesa na Darasa la Saba
Si unajua Mtaalamu alikosea sana ku-cross breed na breed ya ZimbabweHahaaaa umeua mkuu
Kuna cross breed nyingine hazifai kabisa aisee ni kuharibu watoto.Alikuwa na sura kama kifuuSi unajua Mtaalamu alikosea sana ku-cross breed na breed ya Zimbabwe
Alikuwa ana mtoto mmoja ambaye alikuwa akisomea degree ya udaktari wa meno miaka ya 2008/09 hapo Muhimbili. Dada yule Eliza alikuwa hajaumbika, lakini Mungu hakumsahau akamjalia nyodo... Mtoto wa waziri wa Sayansi na Teknolojia tena!!!
akichangia hoja fulani professor huyu aliwahi kusema ccm itatawala weweee, kuanguka ni labda baada ya miaka 50,
na hii ilikuwa kauri yake katika bunge lililopita, nakumbuka nilimwonya kwa kauri hiyo nilimweleza kuwa huko kujiamini kwao kusivuke mpaka cos dramatic changes do happen, nikampa na mfano wa meridian biao bank ilivyofungwa ni wateja asubuhi walikuta tu bank imefungwa kwa sababu imefirisika.
Pia nilimpa mfano wa mdogo wake dr. Hamza suleman msolla naye akiwa ni human resources manager wa amref tanzania alikuwa anajiamini atakuwa na cheo hicho hadi miaka 7 ijayo ni asubuhi moja tu alikuta barua mezani kwamba kazi hakuna sasa hivi anasaga unga na kuuza maji tabata kimanga.
Sasa jana prof. Peter msolla kaangukia pua kura za maoni jimbo la kilolo , pia ccm yake inafurushwa kwenye uchaguzi mkuu utakao fanyika octber 25.
Prof take my wold
Ma-profs ni watu wajinga sana hasa wa Tanzania na wana misimamo ya kijinga mfano Lipamba wa UKAWA. Ukichunguza ni taabu sana bora tuwaache wafanye ujinga wao kwenye tafiti na ikiwezekana wasipewe kabisa nafasi za siasa