Prof. Pis, kaelezea weak point kuhusiana na kuongezeka kina cha maji bahari ya Hindi!

Prof. Pis, kaelezea weak point kuhusiana na kuongezeka kina cha maji bahari ya Hindi!

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
1,399
Reaction score
255
"Katika nchi yetu mabadiriko ya global warming tunashuhudia ikiwemo kuongezeka kwa
kina cha bahari. Hii ni rahisi kuijaribu kwamfano unapoweka maji kwenye sufuria yanapopata joto
yanatanuka na kuongezeka. Hivyo baharini kwakuwa joto limeongezeka basi maji nayo yametanuka na
kuongezeka kina" Alieleza prof. Pis (sina uhakika na jina) kupitia ITV.

Hii ni weak point kusemwa na prof. kwani kuongezeka kwa kina cha bahari kumesababishwa na kuongezeka kwa joto lakn
si kwa kutanuka bali kwa kuyeyuka barafu zilizopo maeneo mabali mabali duniani hasa bara la Antarctica na hali hiyo imesababisha maji kuongezeka. Pia maeneo kama vilele vya milima kama Kilimanjaro navyo vimeyeyuka na kuongeza maji baharini.

Nampinga prof. kwa hoja hiyo.
 
nyie vilaza kweli mwenzenu kaja na hoja ya msingi nyie mnaleta mipasho hapa,.nendeni facebook mkafanye huu upuuzi

Mkuu, hawa jamaa hawajui walifanyalo. Hili ni jukwaa la elimu na ni lazima waingie watu wenye hoja za kisomi au pengine hawajaelewa mada husika na kwahiyo wakaamua kupiga pumba zao hapa.
 
Hata mimi nilishangaa sana kusikia hivyo, nikasema hii ni shallow sana kwa elimu yake
 
Inategemea ni Prof wa nini.., huenda fani yake ni muziki ameulizwa mambo ya global warming..

Ila hapa tukirudi kwenye archimedes principle...; When a body is wholly or partial submerged in a fluid it displaces its own weight.., hivyo basi in case ya kwenye sufuria ukiweka maji nusu alafu ukaongeza ice cubes.., (maji yatapanda kutokana na uzito) je ice cubes zikiyeyuka hayo maji yatapanda zaidi ya yalipokuwa...

Food for Thought...

By the way sikubaliana na Prof..
 
Hata mimi nilishangaa sana kusikia hivyo, nikasema hii ni shallow sana kwa elimu yake

nadhani anatakiwa apewe taarifa kwa wale wanaomfahamu ili aje aelezee hiyo theory mpya hapa kwakuwa ni prof. atutakuwa na ubishi vinginevyo mimi siungi mkono hiyo projo.
 
Inategemea ni Prof wa nini.., huenda fani yake ni muziki ameulizwa mambo ya global warming..

Ila hapa tukirudi kwenye archimedes principle...; When a body is wholly or partial submerged in a fluid it displaces its own weight.., hivyo basi in case ya kwenye sufuria ukiweka maji nusu alafu ukaongeza ice cubes.., (maji yatapanda kutokana na uzito) je ice cubes zikiyeyuka hayo maji yatapanda zaidi ya yalipokuwa...

Food for Thought...

By the way sikubaliana na Prof..

from what I know liquid behave in different was depending on their freezing point but for the case of water may evaporate or expand when exposed to temperature.

Ila tuongelee kuexpand kwa maji kwakuwa ndo hoja ya Prof. maji huwa yanaexpnd pale tu yanapofikia kizio cha mgando (freezing point) na joto linapopungua zaidi basi yanaongezeka ujazo na ndo maana chupa au dumu ukilisahau kwenye friza kwa muda mrefu basi litapasuka kwakuwa ujazo unaongezeka.

sasa kama bahari ingekuwa ingekuwa inaganda basi Pis angekuwa sahihi.

Sasa hapo mkuu kwenye red ni mtazamo duni kwakuwa si kweli kuwa barafu ziko kwenye bahari bali bali maji yanayoingia baharini yanaletwa na mito toka maeneo mbalimbali yaliyo affectiwa naglobal warming hasa kwaenye polar regions, atactica na kwenye vilele vya milima virefu. ukifikiria hivyo basi umemeza hiyo principle na unakuwa Pis!!!
 
from what I know liquid behave in different was depending on their freezing point but for the case of water may evaporate or expand when exposed to temperature.
Okay kwanza kabisa through Archimedes principle tunakubaliana kama ice zipo kwenye maji (bahari, basi kuyeyuka kwake hakutaongeza kina cha maji)

Haya tuje kwenye point ya Prof.., Je ni nini kinasababisha kina kuongezeka.., Je na point ya Prof na yako pia zote zinachangia ?, kabla hatujaenelea sana kumtukana Prof.., tuangalie the following extract nimetoa kwenye mtandao:-

Causes of Sea Level Rise

Before describing the major factors contributing to climate change, it should be understood that the melting back of sea ice (e.g., in the Arctic and the floating ice shelves) will not directly contribute to sea level rise because this ice is already floating on the ocean (and so already displacing its mass of water). However, the melting back of this ice can lead to indirect contributions on sea level. For example, the melting back of sea ice leads to a reduction in albedo (surface reflectivity) and allows for greater absorption of solar radiation. More solar radiation being absorbed will accelerate warming, thus increasing the melting back of snow and ice on land. In addition, ongoing break up of the floating ice shelves will allow a faster flow of ice on land into the oceans, thereby providing an additional contribution to sea level rise.


There are three major processes by which human-induced climate change directly affects sea level. First, like air and other fluids, water expands as its temperature increases (i.e., its density goes down as temperature rises). As climate change increases ocean temperatures, initially at the surface and over centuries at depth, the water will expand, contributing to sea level rise due to thermal expansion. Thermal expansion is likely to have contributed to about 2.5 cm of sea level rise during the second half of the 20th century, with the rate of rise due to this term having increased to about 3 times this rate during the early 21st century. Because this contribution to sea level rise depends mainly on the temperature of the ocean, projecting the increase in ocean temperatures provides an estimate of future growth.

A second, and less certain, contributor to sea level rise is the melting of glaciers and ice caps. IPCC's Fourth Assessment estimated that, during the second half of the 20th century, melting of mountain glaciers and ice caps led to about a 2.5 cm rise in sea level. This is a higher amount than was caused by the loss of ice from the Greenland and Antarctic ice sheets, which added about 1 cm to the sea level.

The third process that can cause sea level to rise is the loss of ice mass from Greenland and Antarctica. Were all the ice on Greenland to melt, a process that would likely take many centuries to millennia, sea level would go up by roughly 7 meters

Kwahio Mkuu utaona kwamba according to the first point (kwenye blue) the Prof was right.., ila kwa kuwa yeye ni Prof.., ingebidi atoe maelezeko zaidi na sio juu juu tu

Thanks Mkuu Paul Kijoka
 
Okay kwanza kabisa through Archimedes principle tunakubaliana kama ice zipo kwenye maji (bahari, basi kuyeyuka kwake hakutaongeza kina cha maji)

Haya tuje kwenye point ya Prof.., Je ni nini kinasababisha kina kuongezeka.., Je na point ya Prof na yako pia zote zinachangia ?, kabla hatujaenelea sana kumtukana Prof.., tuangalie the following extract nimetoa kwenye mtandao:-

Causes of Sea Level Rise



Kwahio Mkuu utaona kwamba according to the first point (kwenye blue) the Prof was right.., ila kwa kuwa yeye ni Prof.., ingebidi atoe maelezeko zaidi na sio juu juu tu

Thanks Mkuu Paul Kijoka


I like it. Its nice observation mkuu sun wu. Thank you.
 
Unawezaje kukataa hoja ya mtu bila kuwa na facts? Sea level rise inachangiwa na vitu viwili: water expansion due to temperature increase (temp increase here is very small, less than 1 degree celsius) and melting of glacier. Climate change is a broad subject and pure science!Just search for IPCC 4th assessment report (physical science) you will get some a,b,c
 
Back
Top Bottom