Elections 2010 Prof Shivji aiponda Kauli Mbiu ya Rais Kikwete

wewe(buchanan) ni mbaguzi na mdini mkubwa sana, hufai kuishi katika jamii ya watu waliostaarabika...... Ushindwe na ulegee!!!!...aamen
 
....asante sana Regia kwa taarifa nzuri ulotuletea...ubarikiwe
 
Japo lugha waliyotumia N-HANDSOME,BULESI NA MUHEZA sio nzuri ila hajo yao ina msingi sana. Kwa kweli wengi tuanahangaika kujenga hoja ya Kufufuliwa kwa Azimio la Arusha hivyo kwa kujifungia Peacock na Kempnski hatuwezi kufanikiwa. Nashauri wakati vyama vya siasa vinafanya kazi yao ni sisi wanaharakati wengine tusiotaka kujifungamanisha na vyama tuanzishe rasmi harakati za kudai kupitiwa upya kwa Azimio la Arusha kwa nia ya kurejeshwa kwake.

Tukiweza kujenga pressure ya kutosha kwa kuelimisha wananchi wengi iwezekanavyo kuhusu Azimio la Arusha, vyama vya siasa vitakuwa havina budi kuifanya kama sera yao
 
Naomba nitofautiane kidogo na wewe mkuu, Kauli mbiu inabeba lengo kuu na muelekeo mzima wa watu au organization. Kauli mbiu ndio inayokupa changamoto ya mikakati ya jinsi ya kufikia lengo la kauli mbiu. Mfano, 'Maisha bora kwa kila mtanzania' ingeweza kuwafanya CCM wafikirie na kuidentify setbacks za kutokuwepo maisha bora kwa kila mtanzania na kwamba only a few are benefitting from the sweats of the rest of Tanzanians. This will take them a little further and perhaps discover that there is massive corruption and mismanagement of public finances by those few, and in the end set some measures to stop this evil.
Pia unaconclude kuwa kuwaondoa CCM hakutaleta mabadiliko just because Kenya waliiondoa KANU na hakuna mabadiliko. Kwanza unafanya comparison ya 2 different countries ambazo zinaweza kuwa na tofauti kadhaa za kwa mfano ni watu wa aina gani wameingia madarakani afterwards, je ni wezi, wavivu, wasio na vision au ni watu wenye kutuletea mabadiliko ya kweli. So it depends tumebadilisha serikali tukaiweka serikali ipi. Na bado sikubaliani na wewe unapoisight Kenya kuwa ni mfano mbaya, already Kenya jana tu wamesign a new constitution ambayo ina mabadiliko mengi tu mazuri kwa maendeleo ya nchi yao, and that is to me, a positive move towards success.
La mwisho umetoa mfano wa Uganda na Idd Amin kuwafukuza wahindi. Nakubaliana na wewe kwamba hiyo haikuwa good move by any measure of standards. But today ukienda Uganda utashangaa kuona kuwa uchumi wa Uganda upo mikononi mwa indigenous, ukifika mjini unaona maduka makubwa sana na biashara kubwa tu za waganda wazawa unlike your country ambayo wewe ni shahidi ni akina nani wameshika huu uchumi.
 
GS,

Vijana mnafanyia mikutano yenu hotelini? Enzi za ujana wenu hilo lisingeliwezekana, tungelienda Jangwani.

:becky::becky::becky: jamani jangwani kwani wanazindua kampeni au mikutano ya dini? :becky::becky:
 
Shivji anajiamini!
Maana Tz kwa kuondoa watu kimya kimya hawajambo
 

Regia

Ningekuwa jimboni kwako HAKIKA ningekupigia kura, lakini nampigia kura Halima Mdee, kwani yuko jimboni mwangu - KAWE! People's Power!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…