Unamchokoza.....
Kupinga au kuunga mkono kwenye masuala ya kisheria ni jambo la kawaida ndiyo maana kukawa na upenyo wa kukata rufaa. Kimsingi masuala ya kisheria siyo sawa na hesabu ambapo moja na moja ni mbili. Kwenye sheria hakuna kukosea au kupatia hadi hukumu ya mwisho kwenye ngazi ya mwisho. Hivyo Shivji hajakosea sawa na akina Lissu wanaopingana na hoja ya Shivji.
Hii thread ni muhimu sana kwa kujifunza.
Sisi ambao hatujui sheria nashauri tukae pembeni na kuwaacha wenye ujuzi watuelemishe.
Hili suala halina siasa ndani yake wala halina uhusiano na Lema kurudishiwa ubunge au kutokurudishiwa. Hii ni tafsiri kubwa zaidi ya siasa za CCM na CHADEMA.
Tusiivuruge kwa mapenzi ya vyama vya siasa na badala yake tuwaachie wanaojua kuliko sisi watuelemishe.
kama tafsiri ikiwa mtu yeyote mwenye hak ya kupiga kura ana haki ya kufungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguz katka jimbo lolote lile hapa Tz itakuwa bora zaid. kuna sehem watu na washindan wao wamelala sana. cha muhmu ushahid uwepo. kwa hali ilivyo sasa mgombea anatoa rushwa na ushahd upo lakin haikuhusu. ovyo.
..."gwiji"...kama hutaki kejeli usitoe kejeli...mambo ya nyongo achana nayo...mjadala mzuri.Kula tano kwenye bold hapo.
Ndo maana nikaweka alert mwanzo kabisa kule, wasije watu wasioona past their noses wakatokwa nyongo buree.
"Lakini Profesa Shivji aliitetea hukumu hiyo ya Mgonja akisema imekuwapo kwa zaidi ya miaka 30 sasa na kwamba kwa muda wote huo imekuwa ikifuatwa katika uamuzi wa mashauri mbalimbali, huku akisisitiza kuwa Mahakama haiwezi kuifuta kirahisi tu."
Mimi siyo mwanasheria, lakini kwa tafsiri rahisi tu, sidhani kama hii ni sahihi kama anavyosema Prof. Shivji!
Aren't some black people unsuitable to serve on juries?
Who are those "some black people"?
EMT nimekua nikifuatilia hili swala la hukumu ya Lema na nimejikuta hata ile dhamira ya kuona, kuna haki katika sheria inakuwa inatoweka.Mahakama ya Rufaa ina mamlaka ya kwenye kinyume na kesi iliyoamuliwa huko nyuma regardless ni lini.
Mahakama ya Rufaa can even departs from its previous decision, if it finds later kuwa hiyo kesi iliaamuliwa kimakosa.
Labda Prof. Shivji alitaka Mahakama ya ikae full bench ili ku-overrule kesi ya Mgonja.
Vegetables.
lol. Wakati anatoa hiyo comment, kulikuwa na debate Uingereza iliyoanzishwa na watu weusi hasa wale waliokabiliwa na kesi za jina kuwa walikuwa hawatendewi haki na juries iliyokuwa na members wazungu tuu.
So, walitaka kuwa na "some black people" particularly whether the accused was black.
Ndo Denning kaja na hiyo comment
But as far as locus standi is concerned, he had always said: "I regard it as a matter of high constitutional principle that, if there is good ground for supposing that a government department or a public authority is transgressing the law, or is about to transgress it, in a way which offends or injures thousands of Her Majesty's subjects, then any one of those offended or injured can draw it to the attention of the courts of law and seek to have the law enforced, and the courts in their discretion can grant whatever remedy is appropriate....
In these days when government departments and public authorities have such powers and influence, this is a most important safeguard for the ordinary citizens of this country; so that they can see that those great powers and influence are exercised in accordance with law." - Attorney General (on the relation of McWhirter) v Independent Broadcasting Authority [1973] 1 All ER 689, 698
EMT nimekua nikifuatilia hili swala la hukumu ya Lema na nimejikuta hata ile dhamira ya kuona, kuna haki katika sheria inakuwa inatoweka.
labda leo niulize tena hivi hap kwani kila hukumu inayotumiwa kama reference kwenye hukumu nyingine ni hukumu iliyoamuliwa kwa haki??
je kuna vitu gani ambavyo hutumika ili kuipa hukumu hiyo credit ya kutumiwa kama reference?? labda tuanzie hpo kabla ya kwenda mbai zaid.
Kitu ambacho ni interesting zaidi katika hii kesi ni kwamba jambo la msingi la matumizi ya matusi na lugha za kibaguzi halijapewa kabisa nafasi na mahakama, badala yake technicalities ndio zilizoamua final verdict.
Wakati mwingine ndio maana naona hizi kazi ambazo maamuzi yake hayana standard measures ni za headache sana...
Not necessarily. Kama kweli kesi ya Mgonja iliamuliwa kimakosa kama ilivyosema Mahakama ya Rufaa, ina maana kuwa tulikuwa tunamiwa "bad law" kwa miaka hiyo 30.
Huku iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa ina-binds mahakama zote za chini mpaka pale Mahakama ya Rufaa itakapotengua hiyo hukumu au Bunge lipitishe sheria kubatilisha hiyo hukumu.
Vile vile huku iliyotolewa na Mahakama Kuu ina-binds mahakama zote za chini, lakini hai-bind Mahakama ya Rufaa.
Yale yale,pilipili usiyoila yakuwashia nin? Mimi nimemtukana let say juma, John anafungua kesi,je inamuhusu nin?