Prof. Sospeter Muhongo una laana ya wanamtwara

Prof. Sospeter Muhongo una laana ya wanamtwara

chingas

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2014
Posts
261
Reaction score
113
Kufuatia tuhuma inayokukabili ya ubadhilifu na utakatishaji wa pheza, uongo na wizi wa mali ya uma inasemekana kuwa hayo yote yanayomkuta ni laana ya wananchi wa mtwara zidi ya uongozi wake wa ubabe kejeli na dharau dhidi ya viongozi wenzake na jamii kw ujumla.

Wananchi wa mtwara hawatakusahau kutokana na kuwadharau juu ya maombi yao kwa iliyokuwa wizara yako na serekali wakiomba kuwa ile gesi iliyogundulika mkoani humo basi iwekezwe apo apo mkoani kwa kujenga kituo kikuu cha kufulia umeme na kusafishia gesi itakayokuwa tayati kwa matumizi ya serekali au kuuzwa ili kupandisha uchumi wa mkoa huo ambao ni wa mwisho kimaendeleo kuliko kuiamisha kwa bomba mpaka daresalam.

Lakini tofauti ya mategemeo wana mtwara majibu ya serekali bungeni kupitia waziri uyo muongo kuwai kutokea ktk nchi hii yakawa ni lazima gesi ile itasafirishwa kwa bomba mpaka Dar

Baada ya wana mtwara kukataliwa maombi yao walitumia njia nyingine kudai haki yao kwa kuingia mtaani na kuandana, matokeo ikawa ni kupigwa na polisi nyumba hadi nyumba hadi kufikia kuuwa watu kazaa akiwepo mama mjamzito alipigwa risasi ya tumbo na kufariki yeye na mtoto alioko tumboni,baadae serikali hii dhaifu ikaona haitoshi ikawapeleka wanajeshi mkoani Mtwara wakiwa na vifaru vya kivita na kukamata watu na kuwatesa ktk kambi yao ilioko Naliendele mkoani hapo.

Swala hilo lilipofika bungeni nakumbuka vizuri ndio chanzo cha kuzaliwa kwa kauli ya waziri mkuu pale aliposema wanainchi wa mtwara. (wapigwe tu ).

Sasa basi kufuatia kauli zote hizo wanaichi wa Mtwara wana chuki zidi ya viongozi hawa na kumuomba mwenyezi mungu wao awaonyeshe viongozi hawa makosa yao zidi ya wana mtwara.

Sasa kufuatia matukio yote yanayowakuta viongozi hawa hadi mkuu wao labda hii ni laana walioachiwa na wanainchi hawa wa Mtwara.

Source: Nangu Nimwene
 
Naunga mkono hoja maana kipindi cha machafuko nilikuwepo kule mtwara na nilikoswakoswa kupigwa na FFU baada ya Pinda kutoa ile kauli ya "Wapigwe tu"
 
Tangu alipotoa tamko lake kuwa gesi ya Mtw haiko eneo lao nikajua hapa tuna "msiba",kinachomtokea leo sishangai...
 
Aisee umenikumbusha nilikuwa nafikiria ile damu ya mama mjamzito itamuandama hadi kaburini
 
Tena hii laana haitaishia yy kuachia ngazi tu Bali mpk mbele ya Maisha yake.......ajue kuwa cheo Ni dhamana.
 
Lakini si muhongo aliyekataa Gris isitoke mtwara,hata mkuu wa kaya alisema gesi lazima iende dar,ili wachina waichukue vizuri.
 
Wako namnume kwelii. Yaaaani unimchambula aneyo livelu!
 
Mtwara kuchele...... Kwenda kulee mhongo pumbaf zake na kauli zake za dharau
 
Kumbe Mtwara huwa wanatoa laana waombeni waondoe na laana ya kutomalizika barabara yao, maana kilomita 60 miaka 10 muna mambo
 
Lakini si muhongo aliyekataa Gris isitoke mtwara,hata mkuu wa kaya alisema gesi lazima iende dar,ili wachina waichukue vizuri.

kaka hii isue prof muhongo ndio alichochea sana na kumshawishi mkuu wa kaya kusafarisha kwa bomba mpaka dar kwa madai kuwa pale dar tayari kuna kinu cha gas cha kufulia umeme,lkn kiongozi huyu kwa vile ni dalali yeye aliangalia tu genji atakayoipata kwenye makampuni yaliyopewa tenda iyo, kwa sababu mi sidhani km kulikuwa na tofauti kubwa ya garama ya kujenga icho kinu kule mtwara na kutandaza bomba chini ya aridhi kutoka mtwara hadi dar
ebu chukulia mfano kila bomba moja itaigarimu serekali sh ngapi kutoka ujerumani mpaka kufika kule msimbati! je ni bomba ngapi zitaunganishwa hadi kufika dar?
naongea kwa uchungu coz nimeyaona yale mabomba kwa macho yangu
ni makubwa yakuweza kutembea mtu ndani na ni ya garama sana
kwa vyovyote ile bomba moja inaweza kuwa sio chini ya milioni moja au zaidi,sasa just imagine ni mabilioni mangapi yanachimbiwa chini
lakini yote yamefichwa ili kudidimiza mkoa wa mtwara na kuinua sehemu zingine
(lakini mungu anatuona)
 
Ukawa wakiongozwa na Mbowe wamehongwa na Serikali ndio maana wamekubali kufanya maridhiano ya KIJUHA.
 
Kufuatia tuhuma inayokukabili ya ubadhilifu na utakatishaji wa pheza, uongo na wizi wa mali ya uma inasemekana kuwa hayo yote yanayomkuta ni laana ya wananchi wa mtwara zidi ya uongozi wake wa ubabe kejeli na dharau dhidi ya viongozi wenzake na jamii kw ujumla.

Wananchi wa mtwara hawatakusahau kutokana na kuwadharau juu ya maombi yao kwa iliyokuwa wizara yako na serekali wakiomba kuwa ile gesi iliyogundulika mkoani humo basi iwekezwe apo apo mkoani kwa kujenga kituo kikuu cha kufulia umeme na kusafishia gesi itakayokuwa tayati kwa matumizi ya serekali au kuuzwa ili kupandisha uchumi wa mkoa huo ambao ni wa mwisho kimaendeleo kuliko kuiamisha kwa bomba mpaka daresalam.

Lakini tofauti ya mategemeo wana mtwara majibu ya serekali bungeni kupitia waziri uyo muongo kuwai kutokea ktk nchi hii yakawa ni lazima gesi ile itasafirishwa kwa bomba mpaka Dar

Baada ya wana mtwara kukataliwa maombi yao walitumia njia nyingine kudai haki yao kwa kuingia mtaani na kuandana, matokeo ikawa ni kupigwa na polisi nyumba hadi nyumba hadi kufikia kuuwa watu kazaa akiwepo mama mjamzito alipigwa risasi ya tumbo na kufariki yeye na mtoto alioko tumboni,baadae serikali hii dhaifu ikaona haitoshi ikawapeleka wanajeshi mkoani Mtwara wakiwa na vifaru vya kivita na kukamata watu na kuwatesa ktk kambi yao ilioko Naliendele mkoani hapo.

Swala hilo lilipofika bungeni nakumbuka vizuri ndio chanzo cha kuzaliwa kwa kauli ya waziri mkuu pale aliposema wanainchi wa mtwara. (wapigwe tu ).

Sasa basi kufuatia kauli zote hizo wanaichi wa Mtwara wana chuki zidi ya viongozi hawa na kumuomba mwenyezi mungu wao awaonyeshe viongozi hawa makosa yao zidi ya wana mtwara.

Sasa kufuatia matukio yote yanayowakuta viongozi hawa hadi mkuu wao labda hii ni laana walioachiwa na wanainchi hawa wa Mtwara.

Source: Nangu Nimwene
Almost 10 yrs after this post Prof Muhongo amefutika kabisa kwenye ramani ya siasa....R.I.P Prof.Muhongo.
 
Halafu kauli ya wapigwe tu ilikuwa ni sakata la pro Lipumba na polisi
 
Back
Top Bottom