Jeur wap bombardier vepeangekua rais fulani hivi angeitwa huko canada wakazungumze,na angerudi huku hajui walichoafikiana ila hii pombe jeuri sana imefanikiwa japo kutikisa matawi ya mbuyu, asante
Not a win win situation?So far it's not a win win situation, so a good statement from the Executive Chairperson.
Ndio. Wee unaonaje??Not a win win situation?
Kwa hiyo win win situation kwako maana yake nini? Tuseme hajasema kuwa watailipa tanzania ila kakubali kuwa kaja sababu ya tatizo!Ukute aliye andika Press Release hajui lugha iliyotumika
Au Rais hakuelewa lugha iliyotumika
Au Rais kataka kutudanganya kuwa amekubali kulipa
Ukimsikiliza jamaa wa Barrick karudi mara 2 kuwa win win situation
Mazungumzo yatalenga win win situation. That's all I can say. Naheshimu hapo alipofikia mh rais. Mwezi mmoja nyuma hatukuwa hapa, lakini sasa tuna pa kuanzia. Halafu tunabeza kama ilivyogeuka kuwa desturi ya hiki kizazi cha nyoka. Siasa zimetutia upofu kiasi kwamba hatuoni. Taifa limemeguka vipande vipandeNdio. Wee unaonaje??
Hatimaye wasomi wanaanza kuwa na value wanayotakiwa kuwa nayo!Namuona Magu hatulii,yupo bega Kwa bega na msomi Kabudi Kwa usaidizi.
mfasiriNamuona Magu hatulii,yupo bega Kwa bega na msomi Kabudi Kwa usaidizi.
Ndio utawala bora huo. Kuna mijitu ilisaini mkataba hotelini LondonNamuona Magu hatulii,yupo bega Kwa bega na msomi Kabudi Kwa usaidizi.
Hapa ndipo unapo wish tungekuwa na serikali kama ya wachina!Ndio utawala bora huo. Kuna mijitu ilisaini mkataba hotelini London
Shetani at workUkute aliye andika Press Release hajui lugha iliyotumika
Au Rais hakuelewa lugha iliyotumika
Au Rais kataka kutudanganya kuwa amekubali kulipa
Ukimsikiliza jamaa wa Barrick karudi mara 2 kuwa win win situation