Prof. Tibaijuka: Nimelelewa kujua kwamba ikifika wakati fulani ni lazima nitafute mume. Una miaka 30 unaona bado nini?

Prof. Tibaijuka: Nimelelewa kujua kwamba ikifika wakati fulani ni lazima nitafute mume. Una miaka 30 unaona bado nini?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Prof. Anna Tibaijuka anasema bora hata ndoa zinazovunjika kwani hivi sasa hakuna ndoa, vijana hawaoi, wasichana nao hawaolewi.

Watu wanahangaika tu, asema ukiwa na miaka 30, unasema bado nini?

Kwa kizazi chake ilikuwa ikifika wakati fulani lazima atafute mume wakuolewa nae kwasababu walilelewa hivyo.
 
Hivi kwa tamaduni zetu anayeamua ndoa ni mwanamke au mwanaume, au mambo ya haki sawa ndio yamefika huku kwamba hadi wanawake nao wanaamua waolewe na kina nani na lini, mimi nilidhani wa kusisitizwa kuoa ni wanaume maana wao ndio wenye maamuzi ila cha ajabu wao ndio wa mwisho kuulizwa wanaoa lini
 
Hivi kwa tamaduni zetu anayeamua ndoa ni mwanamke au mwanaume, au mambo ya haki sawa ndio yamefika huku kwamba hadi wanawake nao wanaamua waolewe na kina nani na lini, mimi nilidhani wa kusisitizwa kuoa ni wanaume maana wao ndio wenye maamuzi ila cha ajabu wao ndio wa mwisho kuulizwa wanaoa lini
Mwanamke anayo mbinu ya kuamua ana point
 
Kwani mtu anachagua aolewe linu? Huyu naye anachanganyikiwa
Ndiyo wanawake wa siku hizi wana chagua waolewe lini, Wao wanataka wana kwambia bado wanafanya Marengo na wanaweka masharti mfano utakuta mwanamke anataka kuolewa na Mwanaume mwenye Nyumba na Biashara na mwanaune hasinywe pombe. Ukiangalia hizi sababu enzi za wakina Anna Tibaijuka zilikua hazipo akilini mwao.
 
Back
Top Bottom