Profesa Abel Makubi ameshauri Watanzania kubadilisha utaratibu wa kusalimiana kwa kushikana mikono kwani huhamisha maambukizi ya magonjwa

Profesa Abel Makubi ameshauri Watanzania kubadilisha utaratibu wa kusalimiana kwa kushikana mikono kwani huhamisha maambukizi ya magonjwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kingine GENTAMYCINE najijua nina Nyota Kali hivyo Michawi inanisaka kwa Udi na Uvumba na ndiyo maana huwa sitoi hovyo Mkono wangu. Kama tu Viganja vyangu vyote vina ALAMA ya BAHATI, ULINZI na MAFANIKIO makubwa ya M kwanini Wanga na HATERS wasihangaike kutaka Kunimaliza japo wanashindwa kwakuwa Mimi ni CHAGUO TUKUKA la Mwenyezi Mungu hapa duniani?

Peaneni tu Mikono yenu Muuugue na Mrogwe vizuri kwa Nyota zenu Kuchukuliwa hovyo. Salamu ya Mdomo inatosha!!

======
Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, Profesa Abel Makubi ameshauri Watanzania kubadilisha utaratibu wa heshima ya kusalimiana kwa kushikana mikono kwa madai kuwa kitaalamu siyo salama kiafya kutokana na ukweli kuwa njia hiyo huhamisha kwa urahisi mambukizi ya magonjwa mbalimbali.

Chanzo: Azamtvtz

Pia soma:
 
Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, Profesa Abel Makubi ameshauri Watanzania kubadilisha utaratibu wa heshima ya kusalimiana kwa kushikana mikono kwa madai kuwa kitaalamu siyo salama kiafya kutokana na ukweli kuwa njia hiyo huhamisha kwa urahisi mambukizi ya magonjwa mbalimbali.

Chanzo: azamtvtz

Na kingine GENTAMYCINE najijua nina Nyota Kali hivyo Michawi inanisaka na ndiyo maana huwa sitoi hovyo Mkono wangu.
Hapo kwenye uchawi umenichekesha natamani ungejuwa njia Elfu moja wachawi wanaweza kukutembela bila hata gusa mikono. Mfano jini waweza kulinywachwa kwenye maji 😃 likaenda kukaa kwenye figo Kwisha
 
Mimi huwa natoa 5 tu ki rastafari tena mara moja moja kwa mbali.
 
Back
Top Bottom