geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 658
- 946
Siku ya kwanza kujoin UDSM akili iliniambia sasa upo kwenye center of educational excellence, chuo ambacho kimsingi uhitaji kutamka jina lake, we sema tu nipo chuo kikuu inatosha kumaanisha chuo kikuu cha dar es salaam. Chuo ambacho kwa miaka mingi kinaheshimika na naamini wengi wetu tungependa kusoma hapo hata Jina lake tu zuri chuo kikuu cha dar es salaam au university of dar es salaam.
Siku ya kwanza darasani alikuja profesa jina nimelisahau alishangaa sana kutuona tupo wengi akasema hv, nanukuu "toka nianze kazi hapa chuo sijawai ona darasa limejaa kiasi hiki, lazima ning'oe air msae mbili humu" air msae ni mabasi yaendayo mikoani, maana yake atatufelisha wanafunzi kama 120.
Mwingine alikua ni Dr by academics, kwa ukubwa wa madarasa na idadi ya wanafunzi sirahis mwalimu kusikika bila kutumia vipaza sauti lkn aligoma kufanya hivyo siku zote za maisha yangu hapo chuo.
Wkt nikiwa nashauku ya kutembea tembea chuoni huku nikiwa nimetiwa hofu na hawa waalimu wangu ninaowategemea wanipike nipikike nikashuka kitengo cha uhandisi(faculty of engineering) nilishangaa kuona paa na kata vimeoza nilijiuliza maswali mengi kwanini imekua hivyo tena engineering faculty? Kila siku wanafunzi wahandisi wanafanya vitu kwa vitendo, wanakata mabati wanatengeneza vitu mbalimbali na vingine mwisho wa siku vinatupwa, wanajenga na kubomoa kama mafunzo, kwann wasielekezwe kutengeneza hapo panapovuja? Baada ya muda nikaanza kukumbuka kauli na vitendo vya waalimu nikaona vinaendana na mazingira nayo.
Nilimwambia Mzee wangu ambaye anakipenda na kukisifia CHUO KIKUU mpaka kesho, nasoma UDSM bcoz sina alternative otherwise I would have left and join another better college than this manzese type of university.
Haya ni machache tu lkn yapo madudu mengi tu. Kwa style hii ni vigumu kuzalisha watu wenye weledi wakutosha ili kulijenga taifa.
Kwa ujumla wake kuna matatizo kama haya mengi toka ngazi ya primary hadi vyuoni.
Siku ya kwanza darasani alikuja profesa jina nimelisahau alishangaa sana kutuona tupo wengi akasema hv, nanukuu "toka nianze kazi hapa chuo sijawai ona darasa limejaa kiasi hiki, lazima ning'oe air msae mbili humu" air msae ni mabasi yaendayo mikoani, maana yake atatufelisha wanafunzi kama 120.
Mwingine alikua ni Dr by academics, kwa ukubwa wa madarasa na idadi ya wanafunzi sirahis mwalimu kusikika bila kutumia vipaza sauti lkn aligoma kufanya hivyo siku zote za maisha yangu hapo chuo.
Wkt nikiwa nashauku ya kutembea tembea chuoni huku nikiwa nimetiwa hofu na hawa waalimu wangu ninaowategemea wanipike nipikike nikashuka kitengo cha uhandisi(faculty of engineering) nilishangaa kuona paa na kata vimeoza nilijiuliza maswali mengi kwanini imekua hivyo tena engineering faculty? Kila siku wanafunzi wahandisi wanafanya vitu kwa vitendo, wanakata mabati wanatengeneza vitu mbalimbali na vingine mwisho wa siku vinatupwa, wanajenga na kubomoa kama mafunzo, kwann wasielekezwe kutengeneza hapo panapovuja? Baada ya muda nikaanza kukumbuka kauli na vitendo vya waalimu nikaona vinaendana na mazingira nayo.
Nilimwambia Mzee wangu ambaye anakipenda na kukisifia CHUO KIKUU mpaka kesho, nasoma UDSM bcoz sina alternative otherwise I would have left and join another better college than this manzese type of university.
Haya ni machache tu lkn yapo madudu mengi tu. Kwa style hii ni vigumu kuzalisha watu wenye weledi wakutosha ili kulijenga taifa.
Kwa ujumla wake kuna matatizo kama haya mengi toka ngazi ya primary hadi vyuoni.