G Giltami JF-Expert Member Joined Feb 23, 2017 Posts 1,038 Reaction score 1,623 Oct 30, 2021 #81 Yupo sahihi Asssadi maana mpaka sasa serikali inataka kupanua bandari kavu huko kurasini ila tatizo linakuwa zile nyumba waliuzia watu kwa bei za kipuuzi sasa now wakisema wachukue maeneo itahitajika fidia kubwa
Yupo sahihi Asssadi maana mpaka sasa serikali inataka kupanua bandari kavu huko kurasini ila tatizo linakuwa zile nyumba waliuzia watu kwa bei za kipuuzi sasa now wakisema wachukue maeneo itahitajika fidia kubwa
YEHODAYA JF-Expert Member Joined Aug 9, 2015 Posts 36,902 Reaction score 52,001 Oct 30, 2021 #82 EINSTEIN112 said: We ni PIMBI toka lini CAG anaidhinishwa na bunge la maZUZU Click to expand... Wewe hujui CAG huteuliwa na Raisi na Bunge kumuidhinisha wewe ndie hujui
EINSTEIN112 said: We ni PIMBI toka lini CAG anaidhinishwa na bunge la maZUZU Click to expand... Wewe hujui CAG huteuliwa na Raisi na Bunge kumuidhinisha wewe ndie hujui
EINSTEIN112 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 21,711 Reaction score 35,644 Oct 30, 2021 #83 YEHODAYA said: Wewe hujui CAG huteuliwa na Raisi na Bunge kumuidhinisha wewe ndie hujui Click to expand... Huna akili mbuzi wewe ndio maana tunasema ccm imeajiri MAPIMBI msitulaumu ndo maana CDM WAKIJA HUKO wanateuliwa nyie mnaachwa. Nioneshe sheria inayosema CAG anathibitishwa na BUNGE
YEHODAYA said: Wewe hujui CAG huteuliwa na Raisi na Bunge kumuidhinisha wewe ndie hujui Click to expand... Huna akili mbuzi wewe ndio maana tunasema ccm imeajiri MAPIMBI msitulaumu ndo maana CDM WAKIJA HUKO wanateuliwa nyie mnaachwa. Nioneshe sheria inayosema CAG anathibitishwa na BUNGE