Hivyo vyeo vya kisiasa siingilii hukoKama itakupendeza naomba CV ya Waziri wa Afya wa sasa
Kazi yake kama haipo ni kama cheo kufutwa mpe chake apambane huko aendekoDereva kama magari ya kuendesha hamna mnataka kusema akae tu angojee mshahara ?
Vyovyote mahakama inamhusuKumbukeni kuwa Assad ni radicalist(msimamo mkali)
Kobaz mtu
Yule ameshashinda kesi mapemaa,
Pole yako librarianπ
Kazi nyingjne zinazohusiana na proffesion yako udreva mpaka kupanga mafaili mbona ni kama mbingu na ardhiNyie ni wafanyakazi wa kuajiriwa? Angalia job description ya mkataba wako wa ajira. Je haisemi utafanya kazi hizi, hizi, na point ya mwisho kusema ...na kazi yoyote nyingine utakayopangiwa na mwajiri wako? Sasa tatizo liko wapi?
Na je, inapotokea dereva hana kazi kwa sababu kuna madereva wengi, mnataka alipwe bila kufanya kazi, wakati labda kuna nafasi kwenye masijala ambayo haina mtu? Kwa sababu option inakuwa ni kumpunguza dereva arudi nyumbani au kumwambia kaa hapa masjala (bila kuathiri mshahara wake) hadi tukiwa na gari nyingine ya ziada, badala ya kuajiri mtu wa masijala wakati kuna mtu hana gari na ni dereva. Mmefikiria hilo au hamjui mambo ya HR management mnalaumu tu?
What????? Unajua maana ya kuajiriwa kwa proffession yako?
Mfano yeye Assad ana leseni ya udereva huwa anaendesha gari zake
Kwa hiyo siku Raisi kaamka vibaya aseme kuanzia leo wewe sio CAG utakuwa kazi yako udereva kuendesha gari la bosi wa masjalq wa ofisi ya CAG
Kwa mindset kama hii nani atawekeza Tanzania, hasa private sector? Ukimwajili Marketing Officer itabidi umwajili na dereva, mpika chai, mfagizi?Proffessor Assad akihojiwa amewahi sema alimpeleka dereva kwenda kufanya kazi masjala isiyoendana na proffession yake
Hayo yalikuwa matumizi mabaya ya madaraka na kinyume cha sheria za maadili za viongozi yanayozingatia proffession za mhusika dereva aburuzwe tume ya maadili na mahakamani hata kama kastaafu
Huyu atakuwa kwenye ripoti ya cag ana uchungu kuna siku yataripukaNyie ni wafanyakazi wa kuajiriwa? Angalia job description ya mkataba wako wa ajira. Je haisemi utafanya kazi hizi, hizi, na point ya mwisho kusema ...na kazi yoyote nyingine utakayopangiwa na mwajiri wako? Sasa tatizo liko wapi?
Na je, inapotokea dereva hana kazi kwa sababu kuna madereva wengi, mnataka alipwe bila kufanya kazi, wakati labda kuna nafasi kwenye masijala ambayo haina mtu? Kwa sababu option inakuwa ni kumpunguza dereva arudi nyumbani au kumwambia kaa hapa masjala (bila kuathiri mshahara wake) hadi tukiwa na gari nyingine ya ziada, badala ya kuajiri mtu wa masijala wakati kuna mtu hana gari na ni dereva. Mmefikiria hilo au hamjui mambo ya HR management mnalaumu tu?
Huyo ni lofa kama hawezi ajiri hao watu kumwita mwekezaji ni kudhalilisha wawekezaji abaki hukohuko kwaoKwa mindset kama hii nani atawekeza Tanzania, hasa private sector? Ukimwajili Marketing Officer itabidi umwajili na dereva, mpika chai, mfagizi?
Duh!!! Kwani lazima uanzishe thread????Proffessor Assad akihojiwa amewahi sema alimpeleka dereva kwenda kufanya kazi masjala isiyoendana na proffession yake
Hayo yalikuwa matumizi mabaya ya madaraka na kinyume cha sheria za maadili za viongozi yanayozingatia proffession za mhusika dereva aburuzwe tume ya maadili na mahakamani hata kama kastaafu
Sio jambo la ajabu, hiyo ni inhouse training ama job rotation.Hata mimi nikishangaa, yeye kama mtaalamu, anawezaje kumpangia kazi ambayo muhusika hajasomea?
Nje ya usomi wake, pia ana ka namna fulani ka roho mbaya. Na inawezekana huyo jamaa alikuwa wa imani/dini tofauti, kwa hiyo akawa anachukia.
Ni yeye huwa anakomalia utawala wa sheria, utawala wa sheria ni pamoja na kufuata job description, kwa msingi kwamba mkataba wa kazi ni sheria iliyotungwa na wahusika, na inalindwa na sheria ya mikataba.
Sasa JPM angempa kazi ya kufanya usafi wa mazingira na vyoo pale ofisi ya CAG angekubali? Unavyotaka kutendewa, tendea wengine
Na Prof. angekubali in house training ya kusafisha vyoo na kufyeka majaniSio jambo la ajabu, hiyo ni inhouse training ama job rotation.
Angekuwa Palestine sasa hivi angekuwa anajiandaa kuchukua uongozi wa HamasπKumbukeni kuwa Assad ni radicalist(msimamo mkali)
Kobaz mtu
Angepewa ingekuwa sawa tu. Kama wewe hapa ulivyokubali kuwa chawa kwa desk la JF πππNa Prof. angekubali in house training ya kusafisha vyoo na kufyeka majani
Tatizo prof aliyaamini sana majini kwamba yana nguvu, haya, yamemuua JP, yeye yuko wapiAngepewa ingekuwa sawa tu. Kama wewe hapa ulivyokubali kuwa chawa kwa desk la JF πππ
Una uwezo mdogo sana wa kujenga hoja, unajenga hoja kama kilaza hali inayosababisha mtu kabla hajakujibu apoteze muda mwingi akupe elimu kwanza maana hauna knowledge ya unachobishaniaWhat????? Unajua maana ya kuajiriwa kwa proffession yako?
Mfano yeye Assad ana leseni ya udereva huwa anaendesha gari zake
Kwa hiyo siku Raisi kaamka vibaya aseme kuanzia leo wewe sio CAG utakuwa kazi yako udereva kuendesha gari la bosi wa masjala wa ofisi ya CAG
Shida tuna uswahili sana.Dereva kama magari ya kuendesha hamna mnataka kusema akae tu angojee mshahara ?
Profesa yuko sawa tu, dereva kwenda masijala iko sawa, tena qualification zinaingiliana.
Ofisi fulani mhudumu aliwahi kuwa dereva, kulikuwa na upungufu naye akawa na leseni wakampa test akafaa akawa reallocated.