Profesa Assad ashtakiwe kwa kukiuka maadili akiwa ofisini. Alimpeleka dereva kufanya kazi masjala isiyoendana na proffession yake

Kama itakupendeza naomba CV ya Waziri wa Afya wa sasa
Hivyo vyeo vya kisiasa siingilii huko

Raisi unakuta anaitwa Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama wakati hajawahi kuwa mgambo au sungusungu au kukanyaga JKT
. Hili tatizo liko dunia nzima Raisi kuitwa amiri jeshi mkuu wakati hajui kurusha hata jiwe kurushia music

Vyeo vya kisiasa achana navyo havizingatii fani ukikuta nchi inazingatia fani ni moja kati ya mia
 
Dereva kama magari ya kuendesha hamna mnataka kusema akae tu angojee mshahara ?
Kazi yake kama haipo ni kama cheo kufutwa mpe chake apambane huko aendeko

Sheria za kazi ziko wazi kazi kama haipo mlipe chake muda kafanya kazi aende huko mbele ya safari usimpe kazi isiyo yake ashinde tu anasoma magazeti huku ukimplipa where is value for money?

Kazi ya HR na CEO awe wa private public au religious sector yeyote kazi yake mojawapo ni kuhakikisha value for money ya akipatacho slo tu kuwekana mjini at the expense ya taasisi or taxpayers au watoa sadaka au contributors
 
Kazi nyingjne zinazohusiana na proffesion yako udreva mpaka kupanga mafaili mbona ni kama mbingu na ardhi
 

Unasikitisha.
 
Kwa mindset kama hii nani atawekeza Tanzania, hasa private sector? Ukimwajili Marketing Officer itabidi umwajili na dereva, mpika chai, mfagizi?

Kwenye Ofisi fulani nilikuta kuna TV, nilienda kwenye meeting, kwa saa moja na zaidi. Napoondoka nilishangaa wale watu bado wanaangalia TV. Jamaa nilimuuliza ofisi yenu ina huduma nzuri, kuna TV! Akajibu pale kuna madereva, wahudumu nk. Nilichoshangaa ofisi ina Mkurugenzi tu ndiyo boss kwa mapato na gharama gani? Kumbe ruzuku
 
Huyu atakuwa kwenye ripoti ya cag ana uchungu kuna siku yataripuka
 
Kwa mindset kama hii nani atawekeza Tanzania, hasa private sector? Ukimwajili Marketing Officer itabidi umwajili na dereva, mpika chai, mfagizi?
Huyo ni lofa kama hawezi ajiri hao watu kumwita mwekezaji ni kudhalilisha wawekezaji abaki hukohuko kwao
 
Duh!!! Kwani lazima uanzishe thread????
 
Sio jambo la ajabu, hiyo ni inhouse training ama job rotation.
 
Nani wakumshtaki!Lakini ukisikiliza vizuri alifanya hivyo kwa private sector(Chuo cha Kislam Morogoro) Akiwa kama ndie kiongozi wao.Sasa ashtakiwe na nani?
 
Una uwezo mdogo sana wa kujenga hoja, unajenga hoja kama kilaza hali inayosababisha mtu kabla hajakujibu apoteze muda mwingi akupe elimu kwanza maana hauna knowledge ya unachobishania
 
Shida tuna uswahili sana.

Umeajiriwa, boss amekupangia majukumu mengine baada ya kuona ulipo kuepo mwanzo hakuna nafasi tena kwa muda huo, Ustaarabu ni kuamua kuacha kazi kama unaona haiendani na expectations zako au kuikubali.

Maamuzi yoyote utakayo chukua, utakua sahihi na boss wako alikua sahihi kwa wakati huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…