Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Si kila kazi ya masijala ni nyeti. Anaweza kupewa kazi ya kupokea barua tu na kuzi registerMasijala ni sehemu nyeti sana kumpeleka dereva mule ni kupafungua na kukiuka mipaka ya masijala. Kwanza aliapa wapi kutunza siri za mule na je alikua na taaluma ya kutunza document za siri?
Ndio maana Tanzania tunatia sahihi mikataba ya kijinga. Wewe unaambiwa "na kazi nyingine yeyote utakayopangiwa" unasema na kazi nyingine ya fani yangu, ndio wameandika hivyo?Umewezaje kujua kuandika yote hayo bila kujua vitu vidogo tu. Kwamba hiyo haimaanishi kufanya kazi yoyote bali ni kwenye fani yako bila kuathiri utendaji. Kwa akili zako mhasibu anaweza kupangiwa upasuaji kwa sababu job description inasema na kazi zingine? Ficha undezi mkuu
Sio sahihi dereva kuhamishwa kufanya kazi za masijala ikiwa hana taaluma ya masuala ya kudeal na nyaraka. Haya maneno , " na kazi nyingine yoyote atakayopangiwa" yanapaswa kutafsiriwa kupitia "ujusdem generis rule", kwamba, kazi hio ni lazima iwe inafanana/ inaendana na kazi ya msingi. Sio mtu ameajiriwa kama mhasibu afu anenda kupewa kazi ya upishi.Nyie ni wafanyakazi wa kuajiriwa? Angalia job description ya mkataba wako wa ajira. Je haisemi utafanya kazi hizi, hizi, na point ya mwisho kusema ...na kazi yoyote nyingine utakayopangiwa na mwajiri wako? Sasa tatizo liko wapi?
Na je, inapotokea dereva hana kazi kwa sababu kuna madereva wengi, mnataka alipwe bila kufanya kazi, wakati labda kuna nafasi kwenye masijala ambayo haina mtu? Kwa sababu option inakuwa ni kumpunguza dereva arudi nyumbani au kumwambia kaa hapa masjala (bila kuathiri mshahara wake) hadi tukiwa na gari nyingine ya ziada, badala ya kuajiri mtu wa masijala wakati kuna mtu hana gari na ni dereva. Mmefikiria hilo au hamjui mambo ya HR management mnalaumu tu?
Huyo mkoa akili hawezi kuelewa kitu, unapigia mbuzi gitaaSio sahihi dereva kuhamishwa kufanya kazi za masijala ikiwa hana taaluma ya masuala ya kudeal na nyaraka. Haya maneno , " na kazi nyingine yoyote atakayopangiwa" yanapaswa kutafsiriwa kupitia "ujusdem generis rule", kwamba, kazi hio ni lazima iwe inafanana/ inaendana na kazi ya msingi. Sio mtu ameajiriwa kama mhasibu afu anenda kupewa kazi ya upishi.
Ficha upumbavu wewe. Job description haiwezi ku exhaust kazi zote kila dot, ndio maana inaandikwa na kazi nyingine, lakini itabaki kwenye chain ya kazi ya msingi.Ndio maana Tanzania tunatia sahihi mikataba ya kijinga. Wewe unaambiwa "na kazi nyingine yeyote utakayopangiwa" unasema na kazi nyingine ya fani yangu, ndio wameandika hivyo?
Na kazi nyingine yoyote ina maana bosi anaweza kukupangia kazi ya kupiga deki japo wewe ni dereva, au kukutuma ukamtengenezee kahawa. Eleweni lugha za mikataba
Hivyo ndivyo mnavyopigwa mikataba wapumbavu nyie! Mnaweka vipengele vyenu wenyewe kichwani wakati havipo kwenye mandishiFicha upumbavu wewe. Job description haiwezi ku exhaust kazi zote kila dot, ndio maana inaandikwa na kazi nyingine, lakini itabaki kwenye chain ya kazi ya msingi.
Suala sio kuwa na taaluma bali kuweza kufanya kazi katika hiyo taaluma nyie watu wa wapi? Kumfundisha mtu kazi ya masjala inaweza kuwa on the job training aliyopewa dereva. Kwani Ummy Mwalimu alipofanywa kuwa waziri wa Afya ilikuwa taaluma yake? Au Samia alisomea wapi uraisi?Sio sahihi dereva kuhamishwa kufanya kazi za masijala ikiwa hana taaluma ya masuala ya kudeal na nyaraka. Haya maneno , " na kazi nyingine yoyote atakayopangiwa" yanapaswa kutafsiriwa kupitia "ujusdem generis rule", kwamba, kazi hio ni lazima iwe inafanana/ inaendana na kazi ya msingi. Sio mtu ameajiriwa kama mhasibu afu anenda kupewa kazi ya upishi.
Mbuzi ni nyie mnajifanya mnajua HR wakati mmeajiriwa kama vibarua! Mainjinia, wanasheria, wahasibu wangapi wanafanywa kuwa mameneja, umeneja ni taaluma yao? Kwa nini wasioewe watu waliosomea umeneja basi na wapewe wao?Huyo mkoa akili hawezi kuelewa kitu, unapigia mbuzi gitaa
Jifunze kuwa na akili acha ujinga.Suala sio kuwa na taaluma bali kuweza kufanya kazi katika hiyo taaluma nyie watu wa wapi? Kumfundisha mtu kazi ya masjala inaweza kuwa on the job training aliyopewa dereva. Kwani Ummy Mwalimu alipofanywa kuwa waziri wa Afya ilikuwa taaluma yake? Au Samia alisomea wapi uraisi?
Huna akili wewe jamaa, hujui hata meneja ni mtu wa namna gani! Huyo mhasibu kuwa meneja wa fedha(financial manager) ni tatizo? injinia kuwa meneja wa ujenzi(works manager) ni tatizo? Au meneja ni nani? Kwa akili yako finyu mhasibu anaweza kuwa meneja wa Human Resources.Mbuzi ni nyie mnajifanya mnajua HR wakati mmeajiriwa kama vibarua! Mainjinia, wanasheria, wahasibu wangapi wanafanywa kuwa mameneja, umeneja ni taaluma yao? Kwa nini wasioewe watu waliosomea umeneja basi na wapewe wao?
Umeishia darasa la ngapi, tuanzie hapo. Masjala ni kazi ya kufanya baada ya kwenda course miaka miwili, ndivyo ulivyofanya? Ukaona course ngumu madereva hawawezi kuifanya, sasa kusikia dereva kapewa na wewe uliisotea miaka miwili nongwa!Huna akili wewe jamaa, hujui hata meneja ni mtu wa namna gani! Huyo mhasibu kuwa meneja wa fedha(financial manager) ni tatizo? injinia kuwa meneja wa ujenzi(works manager) ni tatizo? Au meneja ni nani? Kwa akili yako finyu mhasibu anaweza kuwa meneja wa Human Resources.
Mijitu mijinga kama hii huwa ni mijasiri sana
Wala si ajabu. Kuna maprofessor humu JF wameambiwa hawajui kitu na watu waliopata Div 4 form four.Jifunze kuwa na akili acha ujinga.
Haaa haaa naona anahamisha magoli tu,mimi ni darasa la 4 mwenye akili kubwa.Umeishia darasa la ngapi, tuanzie hapo. Masjala ni kazi ya kufanya baada ya kwenda course miaka miwili, ndivyo ulivyofanya? Ukaona course ngumu madereva hawawezi kuifanya, sasa kusikia dereva kapewa na wewe uliisotea miaka miwili nongwa!
Mimi sijasema kazi yeyote. Nimesema kazi yeyote anayoweza kuifanya. Sasa kama dereva angeweza kufanya kazi ya masjala akisubiri kazi ya udereva itokee kuna tatizo gani? Katika management kuna special course ambayo inamfundisha manager kuwa flexible. Sasa hapo ndio mnapofeli, mnamg'ang'ania kwenye kusema yeye ni dereva utafikiri mna ubongo wa cement.Haaa haaa naona anahamisha magoli tu,mimi ni darasa la 4 mwenye akili kubwa.
Dereva kuwekwa masijala, haifanyi masijala akafukuzwa kazi. Kwa hiyo nogwa haipo.
Kinachoshangaza ni wewe kudhani yeyote anaweza kupangiwa kazi yeyote bila kujali masomo na ajira yake ya msingi
Katika Barua za utumishi, inaandikwa Atafanya kazi yeyote atakayopangiwa na Kiongozi wake,Proffessor Assad akihojiwa amewahi sema alimpeleka dereva kwenda kufanya kazi masjala isiyoendana na proffession yake
Hayo yalikuwa matumizi mabaya ya madaraka na kinyume cha sheria za maadili za viongozi yanayozingatia proffession za mhusika dereva aburuzwe tume ya maadili na mahakamani hata kama kastaafu
Kuna siku utakuja kugundua upumbavu wako uje tena kwenye hii thread uombe msamaha, kama utakuwa umerudiwa na akiliJifunze kuwa na akili acha ujinga.
Peleka wehu huko, hili kawadanganye wajinga wenzio.Kuna siku utakuja kugundua upumbavu wako uje tena kwenye hii thread uombe msamaha, kama utakuwa umerudiwa na akili
Werevu wote kwenye hii thread wanakushangaa unavyojitoa akili.Peleka wehu huko, hili kawadanganye wajinga wenzio.
Itakuwa ni wanakuvumilia au wanakustahi.Werevu wote kwenye hii thread wanakushangaa unavyojitoa akili.