Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Mmmmhhhhhhh sitak basi the boss lady Dinazarde kwan hakuna profesa mwanamke!!!!!pro.Anna Tibaijukaa
Hivi ni prof wa nini kweli huyu chameleone?
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Kwani profesa jay ni profesa wa nini? Ukipata jibu ndio jibu ilo
chamilione ni Profesor? mmh
kwani hamshangai akina profesa money stunna, prof maji marefu n.k!!! hawa mi nadhani watakua ni maprofesa kukata viuno na kuimba maana pia hizi ni fani... embu angalia prof jay yuko kwenye gem miaka zaid ya kumi...haya prof kamilioni yuko kwenye gemu zaidi ya miaka kumi!!!je huu uzoefu haufai kuitwa maprof??
hongera zake but all in all yote sawa, mwenye vitara, mwenye hiyo sawa tu
kuna magari ya mabilioni ila sio escalade
Katishaaaa huyu ndio anajua maana ya usanii, hongera zake.
Escalade ni gari ya kawaidaa kununua na kulimiliki kama una pesa ya kawaida kabisa wala huhitaji kuwa Bilionea mkuu. Hili ni Gari la kimarekani na tunakariri kuwa magari ya kimarekani ni ya bei mbaya sana. Kwao magari aina hii wanamiliki watu wa kawaida huku magari kama Hummer wakimiliki watu masikini. Naandika hii kwa uhakika na uzoefu maana nimekaa marekani na kujionea mwenyewe.mkuu usipende kurahisisha mambo!...gari la kawaida kuliona,kuliandika,kuligoogle au kulinunua?
Nikusaidie zaidi, angalia Escalade hii hapa ambayo bei yake ni Dola 70,000 tu! hii maana yake ni chini ya shilingi 150 Milioni za Tanzania. Tusiziogope sana gari hizi mkuu hazina bei mbaya kivile! Na bado zipo Escalade za hadi dola 50,000 tumkuu usipende kurahisisha mambo!...gari la kawaida kuliona,kuliandika,kuligoogle au kulinunua?
Nikusaidie zaidi, angalia Escalade hii hapa ambayo bei yake ni Dola 70,000 tu! hii maana yake ni chini ya shilingi 150 Milioni za Tanzania. Tusiziogope sana gari hizi mkuu hazina bei mbaya kivile! Na bado zipo Escalade za hadi dola 50,000 tu
2013 FORD MUSTANG GT CONVERTIBLE - GT CONVERTIBLE - American Cars for Sale
Gari ya kawaida sana! Etoó kampiga bao anamiliki Bugatt Veyron la ukweli!!
Kwa wanaojua magari, Escalade ni gari ya kawaida sana, ila ina hype kubwa kutokana na wasanii wakubwa kuliimba mara kwa mara...
Hebu angalia hizi stats hapa chini...
Compare 2014 Cadillac Escalade ESV to 2014 Land Rover Range Rover to 2014 Toyota Land Cruiser
Hiyo ni simple comparison ya Escalade, Range Rover na Land Cruiser....
Are u serious? yani huyu mvuta bangi unataka umfananishe na Etoo anayelipwa kwa wiki zaidi ya million 200?
Gari ya kawaida mnayo??? wabongo bana ndo maana hatubarikiwi kwa roho za korosho.. ajabu nini kumsifia kutokana na kazi yake angeiba mngemsema pia.