Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Apumzike kwa amaniMwaka 2016 niliingia ofisini kwake pale CoICT nikitaka aniandikie reference letter nilipokuwa naenda kusoma University of Manchester.
Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET.
Pia aliwahi kuwa mbunge huko Tabora miaka ya nyuma. Leo nimeona tangazo kwamba amefariki dunia. Rest in peace prof.
View attachment 2933369
Kuna mmoja yupo pale NMB anaitwa Neema, ni kifaa ila nadhani alishaolewa.Apumzike kwa Amani mkwe....ana watoto wazuri sanaaaa
Mwaka 2016 niliingia ofisini kwake pale CoICT nikitaka aniandikie reference letter nilipokuwa naenda kusoma University of Manchester.
Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET.
Pia aliwahi kuwa mbunge huko Tabora miaka ya nyuma. Leo nimeona tangazo kwamba amefariki dunia. Rest in peace prof.
View attachment 2933369
Kilichotamalaki ni cha kina mtikila mkumboKizazi cha maprofesa wa middle school ndio kinaishiaishia
Apumzike kwa Amani mkwe....ana watoto wazuri sanaaaa