B Burrell JF-Expert Member Joined Feb 4, 2024 Posts 474 Reaction score 893 Mar 24, 2024 #21 Poleni sana familia ya Prof. Mgombelo kwa kuondokewa na baba.
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 7,837 Reaction score 14,198 Mar 24, 2024 #22 Championship said: Kuna mmoja yupo pale NMB anaitwa Neema, ni kifaa ila nadhani alishaolewa. Click to expand... NMB ya UDSM au?
Championship said: Kuna mmoja yupo pale NMB anaitwa Neema, ni kifaa ila nadhani alishaolewa. Click to expand... NMB ya UDSM au?
B Bigymeech Member Joined Mar 29, 2023 Posts 25 Reaction score 95 Mar 24, 2024 #23 Shin Lim said: NMB ya UDSM au? Click to expand... Acha uhashirati ushaambiwa ameolewa nakwakuongezea tu nikwamba tayari ana watoto wawili.
Shin Lim said: NMB ya UDSM au? Click to expand... Acha uhashirati ushaambiwa ameolewa nakwakuongezea tu nikwamba tayari ana watoto wawili.
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 7,837 Reaction score 14,198 Mar 24, 2024 #24 Bigymeech said: Acha uhashirati ushaambiwa ameolewa nakwakuongezea tu nikwamba tayari ana watoto wawili. Click to expand... Nilikuwa nauliza tu na sikuwa na matamanio yoyote ila kusifia neema za mwenyezi Mungu maana ni fundi.
Bigymeech said: Acha uhashirati ushaambiwa ameolewa nakwakuongezea tu nikwamba tayari ana watoto wawili. Click to expand... Nilikuwa nauliza tu na sikuwa na matamanio yoyote ila kusifia neema za mwenyezi Mungu maana ni fundi.
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,717 Reaction score 13,176 Apr 7, 2024 #25 Tuko pamoja nao ndugu wa marehemu pia tunatoa pole kwa wafiwa wote. Nalog off