Pre GE2025 Profesa Ibrahim Lipumba: Mwaka 2020 niligombea Urais na Lissu aliniwekea pingamizi ili nisigombee. Watanzania wawe makini na Lissu

Pre GE2025 Profesa Ibrahim Lipumba: Mwaka 2020 niligombea Urais na Lissu aliniwekea pingamizi ili nisigombee. Watanzania wawe makini na Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

McLaren

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
53
Reaction score
78
Wakuu,

Katika mahojiano na Charles William , Mwenyekiti wa CUF Taifa Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa CHADEMA imekua ikikataa ushirikiano wowote wa kisiasa.

Pia Lipumba alieleza kuwa Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wao wa Urais alifikia hatua ya kumuwekea pingamizi ili aenguliwe katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

"Mwaka 2020 niligombea Urais kwa tiketi ya chama cha CUF, dakika ya mwisho sina habari hata ya kuondoka Dodoma, Tundu Lissu kaenda kuniwekea pingamizi. Nikajulishwa kwamba kuna pingamizi.Nataka kuondoka Dodoma kumbe pana pingamizi. Nani kaniwekea? Kaniwekea Tundu Lissu?"

 
Wakuu,

Katika mahojiano na Charles William , Mwenyekiti wa CUF Taifa Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa CHADEMA imekua ikikataa ushirikiano wowote wa kisiasa.

Pia Lipumba alieleza kuwa Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wao wa Urais alifikia hatua ya kumuwekea pingamizi ili aenguliwe katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

"Mwaka 2020 niligombea Urais kwa tiketi ya chama cha CUF, dakika ya mwisho sina habari hata ya kuondoka Dodoma, Tundu Lissu kaenda kuniwekea pingamizi. Nikajulishwa kwamba kuna pingamizi.Nataka kuondoka Dodoma kumbe pana pingamizi. Nani kaniwekea? Kaniwekea Tundu Lissu?"

Angesema pingamizi juu ya nini ? Lipumba simtaki kumsikia ametumika kama mipira kiume sasa....ina mvegu chafu ndani yake...simtakiii
 
Na bado tutasikia sana mengi inaonekana kuna ajenda kati ya ccm na huyu bwana pumba kwanza katokea wapi nilijua keshastaafu siasa
 
Huyo mzee hua anaibuka mwaka wa uchaguzi tu. Uchaguzi ukiisha anapotea tena.
 
Huyu alitakiwa akatwe kabisa siyo kuwekewa pingamizi tu
 
Tukuulize profesa pumba kwa nini ulikataa kutoka ofisini ukawa una lala umo kisa wanachama wanataka uachie uongozi.
 
Back
Top Bottom