TANZIA Profesa Jacob Mutabaji afariki dunia

TANZIA Profesa Jacob Mutabaji afariki dunia

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hapa chini kunajieleza zaidi:

IMG_20210801_133612_928.jpg


Apumzike kwa amani Profesa Mutabaji.
 
Saivi ni msimu wa TANZIA tu. Nini kimemuuwa?
 
Jinga sana hilo. Halafu vifo vingi vya wazee sijui alitaka waishi mpaka miaka mingapi
We ushaona huyo mleta uzi analeta vifo vya malaria au ajali humu, yeye kila kifo anachokuja kutangaza humu anakihusisha na corona. Hujaona hapo anasema hicho kifo ni kutokana na kucheleweshwa kwa chanjo Tanzania?
 
Back
Top Bottom