Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen!
Amen!Daah Apumzike kwa Amani Prof. Mtabaji. Prof mtabe sana huyu alikuwa
Sorry, hivi hii hua ni lugha gani na ina maana gani mkuu?Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un!
Mkuu umeshachanja?Madhara hasi ya kucheleweshwa mno kwa chanjo ikiwamo ile ya janssen.
Sisi ni wa Mwenyezimungu na kwake ni marejeo....Sorry, hivi hii hua ni lugha gani na ina maana gani mkuu?
We ushaona huyo mleta uzi analeta vifo vya malaria au ajali humu, yeye kila kifo anachokuja kutangaza humu anakihusisha na corona. Hujaona hapo anasema hicho kifo ni kutokana na kucheleweshwa kwa chanjo Tanzania?Saivi ni msimu wa TANZIA tu. Nini kimemuuwa?
OkaySisi ni wa Mwenyezimungu na kwake ni marejeo....
Ni lugha ya kiarabu
We ushaona huyo mleta uzi analeta vifo vya malaria au ajali humu, yeye kila kifo anachokuja kutangaza humu anakihusisha na corona. Hujaona hapo anasema hicho kifo ni kutokana na kucheleweshwa kwa chanjo Tanzania?